Baada ya kilio cha wananchi na mpango wa kuandamana, serikali ya Kenya ilitangaza kupunguza ushuru wa mafuta! Ndio mafuta kote yamepanda bei lakin kuna kitu chaweza fanyika ili kuwapunguzia wananchi makali! Kukaa kimya kwa serikali yetu sio suruhisho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.