Bora huyo kuliko huyu kihiyo, jizi na bingwa wa forgeries Abela Muyungi anayetamba eti katumwa na Rais. Ukoo wao tu umemtenga kwa sababu ya kuiba mali za kwao yy na mme wake. Yaani anatia aibu wanawake wote
Kama maofisa wake hawajui PGO..bora wangeanza na semina elekezi kabla ya kukutana na Msajili.
Na huyu msajili around mid 2000s alikuwa RM pale Kisutu. Rekodi yake ilikuwaje ... inaweza kutupa clues kwa tabia zake za sasa...
Hawa ni wale wale wapiga debe wa Kaganda.... ndo maana unaona kashachomekea wakati subject ni Sirro. .
Kama issue ni uanamke, wapo wanaofaa lkn sio Kaganda !!
...watu wengine sijui wanafikiria na masaburi au ,!!
She is very experienced na mambo haya ya problem solving tree..kama hujui kuliko huyo aliyekuwa na PhD feki ya kukrem periodic table tena very few elements....
Yeye tena Mama jana kasema anataka kukutana na madhehebu yote separately...
Nani kasema DC ndo aligundua wizi ?
Mlizoea kupeana sifa za kujitungia tuuu....
Subiri uchunguzi uishe kwanza isijekuwa ni sehemu ya wale waliokuwa wanavuta pesa kutoka kwa jamaa wale....
Kumuudhi mlipa kodi tu.
Hii dhana sijui wameiokota wapi yaani kitu kidogo tu awareness campaigns through billboards, radio and print ads !!
PM itabidi ateue akina chumvi kuwa balozi wa kuwatunza wabunge adabu wakatwe kodi na payee ili wapewe kiinua tumbo halali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.