Ndugu watanzania tusipoacha USHAMBA HUU wa magari, ajali zitatuandama kila kukicha.
Mfano unakuta mtu anasema " hii gari inakimbia sana" huu ni USHAMBA kabisa, watu kama hawa wana zile akili za kushindana barabarani na hatimae kuhatarisha usalama wa wengine. (gari linamwongoza binadamu.)
Au...
Putin alizionya nchi za NATO kutompa Ukraine silaha za masafa marefu, lakini Marekani ikakaidi na imepeleka mizinga kibao yenye uwezo wa kupiga ndani ya Urusi na Putin hajafanya lolote.
Putin alionya kuwa ''atakayempatia Ukraine silaha za masafa marefu atakiona cha mtema kuni.''
Dunia haiko fair.
Binafsi nadhani ni mihemko kumwaga chuki mtandaoni dhidi ya bidada Eliza.
Waafrica tumenyanyasana sana baada ya utawala wa hawa watu kiasi sioni tofauti yoyote.
Hebu tuombane misamaha sisi kwa sisi halafu baada ya hapo tudai misamaha kutoka ughaibuni.
Aibu zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.