Kiukweli nilijuaga ili uwe prezdaa wa taifa unapaswa kuwa na upekee flani hivi,,,,ila kila nikimchunguza huyu mama yenu nafikiri hata mim nikijiweka sawa kwenye swala la connection naweza kuongoza taifa hili,,,,kama mtu mwenye akili ndogo hivi anaongoza vipi mim nitashindwaje???