Kwani MO29 mlivyotoa haya matamko ya kupangwa maandamano hayakufanyika?
Kwanza mimi sikuona bodaboda zaidi ya watembea kwa miguu akadeal na watembea kwa miguu sio nyie
Ili bunge limeshakuwa kama kumbi flani ivi la starehe ccm wamejua kutuonesha kuwa ubunge au uwakilishi kule bungeni sio lazima uijue katiba ya nchi na sheria zake Bali tu ukiweza kusifia kuunga hoja tayari na wewe unakuwa Katika kundi la waheshimiwa..
Astaghafulillah... Tumuache Msigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.