Ili bunge limeshakuwa kama kumbi flani ivi la starehe ccm wamejua kutuonesha kuwa ubunge au uwakilishi kule bungeni sio lazima uijue katiba ya nchi na sheria zake Bali tu ukiweza kusifia kuunga hoja tayari na wewe unakuwa Katika kundi la waheshimiwa..
Astaghafulillah... Tumuache Msigwa...
Ingekuwa corona haiwapati na hao viongozi wa serikali labda na mimi ningeamini hizo takwimu ila kwa sisi tinaoshuhudia vifo kila siku naamini niwakati sasa wa serikali yetu pendwa kujitafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.