Recent content by Madibira 1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Anarithisha vipaji kwa kizazi kipya ndiomaana kumuachia S2kiz
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Nacheka comment za Kiingereza kutoka kwa judgges
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Tunaangalia mechi ya Senegal hapa live mubashara kwa picha angavu na bwana upete akisherehesha
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Hawakuonesha zote na nilishea uzi hapa wa mechi zilizokuwa FTA na TBC waliweka
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Kweli kabisa Startimes wanayo hiyo TBC 2 ila azam haipo
  6. M

    JamiiForums Tanzania TEC yabadilisha tarehe ya upadirisho kutoka tarehe 7/7 hadi tarehe 4/7

    Huenda hiyo siku kutakuwa na tukio la kitaifa na viongozi wakuu wa dini wanaalikwa huko kwahiyo ili kuepusha mkanganyiko tarehe imebadilika.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Saizi hapa naangalia sweeden vs Tunisia TBC hairushi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Kumekuwa na malalamiko kuwa muda wa mechi kuna vipindi vinaendelea. Jambo la msingi ni kujua kuwa ni baadhi tu ya mechi za bure hupewa televisheni za taifa waonyeshe lakini mechi nyingi hupewa chanel za kibiashara. Wastani huwa ni mechi moja kwa siku, hizi ndo mechi za bure ambazo zitakuwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Utapeli: TBC haionyeshi kombe la Dunia

    Kabla ya kuita taasisi matapeli unatakiwa kujipa muda wa kujua TBC wanaonesha mechi zipi na zipi hawaoneshi. Kwa kawaida haki ya matangazo yote hupewa wabia wa kibiashara wa FIFA. Lakini televisheni za taifa hupewa baadhi tu ya mechi ambazo huwa za bure na mara zote huwa moja kati ya mechi 3 za...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Walimu saba wafukuzwa kazi Baada ya kifo cha mwanafunzi wa miaka 12 aliyezama kisimani Shule ya Isenegeja

    Suala la kusogeza huduma ya maji karibu na shule ni la mwalimu? Haya watoto wanatakiwa kula shuleni kutumia vyoo, hayo maji wachote walimu? Watoto kuchota maji huko wameanza leo? Ajari haina kinga na ajari haichagui haikuwa na haja ya kuchukua maamuzi ya haraka kiasi hicho.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hawa Flashscore kudadeki zao, kama wameshindwa kufanya kazi zao waache.

    Wacheck pia sofascore wako poa sana
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO University of Iringa (UoI) Wanataka tuwape Elfu Arobaini ya Joho. Ni wizi

    Hatimae watoto wa 2000 wamegardueti tutaona mengi. Mleta mada nitajie chuo wanachotoa joho bure.
  13. M

    JamiiForums Tanzania JamiiForums imenifanya tuamue maamuzi haya mimi na wife

    Weka story kwenye uzi mmoja mkuu ili tusabuskraib
Back
Top Bottom