Suala la kusogeza huduma ya maji karibu na shule ni la mwalimu? Haya watoto wanatakiwa kula shuleni kutumia vyoo, hayo maji wachote walimu? Watoto kuchota maji huko wameanza leo? Ajari haina kinga na ajari haichagui haikuwa na haja ya kuchukua maamuzi ya haraka kiasi hicho.
Wazee wenye hayo majina wapo lakini katika jamii zetu mwanaume akifikisha miaka 50 na kuendelea huitwa Kwa jina la mwisho (la ukoo) kwahiyo inakuwa ngumu kujua jina la awali. Katika mfumo huohuo wazee wenye majina hayo nao hawajulikani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.