Recent content by Madibira 1

  1. M

    Walimu saba wafukuzwa kazi Baada ya kifo cha mwanafunzi wa Miaka 12 Aliyezama Kisimani Shule ya Isenegeja

    Suala la kusogeza huduma ya maji karibu na shule ni la mwalimu? Haya watoto wanatakiwa kula shuleni kutumia vyoo, hayo maji wachote walimu? Watoto kuchota maji huko wameanza leo? Ajari haina kinga na ajari haichagui haikuwa na haja ya kuchukua maamuzi ya haraka kiasi hicho.
  2. M

    KERO University of Iringa (UoI) Wanataka tuwape Elfu Arobaini ya Joho. Ni wizi

    Hatimae watoto wa 2000 wamegardueti tutaona mengi. Mleta mada nitajie chuo wanachotoa joho bure.
  3. M

    JamiiForums imenifanya tuamue maamuzi haya mimi na wife

    Weka story kwenye uzi mmoja mkuu ili tusabuskraib
  4. M

    INEC: Kuhusu upotoshaji wa kuunganishwa kwa mfumo wa uchaguzi na mifumo mingine

    NIDA inatumika kupiga kura nimeitumia 2020
  5. M

    GE2025 INEC yawaita wagombea ubunge, udiwani kuchukua fomu

    Hivi kwanini form zinaandikwa kiingereza
  6. M

    GE2025 Watoto na ndugu wa familia za viongozi wakuu wa nchi waliojitosa kuwania ubunge 2025 na kupita kamati kuu

    Familia ya kikwete Medson Mwambapa _ Mtia nia jimbo la mbarali (mkwe wa kikwete)
  7. M

    Kijiweni leo: kwanini hakuna wazee wenye majina ya kelvin?

    Wazee wenye hayo majina wapo lakini katika jamii zetu mwanaume akifikisha miaka 50 na kuendelea huitwa Kwa jina la mwisho (la ukoo) kwahiyo inakuwa ngumu kujua jina la awali. Katika mfumo huohuo wazee wenye majina hayo nao hawajulikani
  8. M

    Napenda kufahamu juu ya hawa mbuzi

    Bei zake ni laki Tano Kwa mbuzi wakubwa na watoto laki mbili.
  9. M

    CHADEMA mbinu ya maandamano haikuwa njia sahihi ya kukirudisha chama katika macho ya Watanzania

    Walikua na maandamano ya kuomba katiba mpya, kabla haijakaa sawa ikaja okoa bandari n.k. Kuna haja ya kuja na mbinu mbadala
Back
Top Bottom