Recent content by Madibafoundations

  1. M

    Zitto: Taifa moja, nchi moja na serikali 3 zinawezekana tukiamua

    Sasa ameelewa. Mgumu sana. Thanks now
  2. M

    Chadema. Chalinze

    Nahesabu wewe umeshajitoa ila chadema ipo imara
  3. M

    Mgombea ubunge Chalinze kwa tiketi ya CHADEMA awekewa pingamizi

    Mkataba wa cuf na ccm haujawa nulified
  4. M

    Kalenga wamlilia zitto kabwe

    RIP zitto sasa unaliliwa ukiwa hai
  5. M

    Wito kwa Bunge la Katiba: Kura iwe ya Siri kwasababu Hakuna aliyetumwa na Watu Kuwawakilisha!

    Salama yetu ni kupaza sauti kuwaambia ccm waelewe hatupo kulinda matumbo ya wachache tunaangalia taifa kwa mapana marefu. JK inaonekana hana control hata na kisection cha ccm hili tatizo dogo maana amepata all briefing za warioba ana info zaidi lakini muoga sana yeye mwenyewe
  6. M

    Wito kwa Bunge la Katiba: Kura iwe ya Siri kwasababu Hakuna aliyetumwa na Watu Kuwawakilisha!

    CCM sasa ktk hoja wamezidiwa hasa ktk swala la kura ya wazi kufikia hatua baadhi ya makada wake kuanza kutoa vilio vya samaki ambavyo huenda havina machozi wanapoambiwa ukweli juu ya hoja na kura ya siri. Wamekosa hoja wametunga vioja lakini hoja za wanaharakati ambazo zinakwenda sambamba na...
  7. M

    Tuongeze ufahamu... 2/3 Bunge La Katiba Ina Maana Ya 'Special Majority'..

    Km imepita 2/3 hii ni njema watu watalizimika kutoa hoja la sivyo haipiti
  8. M

    Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

    Explain sio wote tuko ktk tv wengine tuko tunajenga taifa
  9. M

    CCM YAZIDI KUSHAMBULIA KAMPENI JIMBO LA KALENGA, Mwampamba na Nchemba ndani ya list

    Pumba tupu nchemba and this poor admin was expected
  10. M

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo ahamia CHADEMA

    DR SLAA AITEKA KIGOMA: Awasili jioni hii, apata mapokezi makubwa. Msafara wake una magari zaidi ya 22, Pikipiki 150, magari 4 ya Polisi, ulinzi waimarishwa.
  11. M

    Kongamano la BAVICHA taifa tar 09 Desemba,2013 Landmark hotel!

    Nitakuwapo kununua cd ya lilian wassira
  12. M

    Chadema yakomaa.

    Inabidi nilisome kwanza ndio nijue km kuna hoja au la
Back
Top Bottom