Salama yetu ni kupaza sauti kuwaambia ccm waelewe hatupo kulinda matumbo ya wachache tunaangalia taifa kwa mapana marefu. JK inaonekana hana control hata na kisection cha ccm hili tatizo dogo maana amepata all briefing za warioba ana info zaidi lakini muoga sana yeye mwenyewe
CCM sasa ktk hoja wamezidiwa hasa ktk swala la kura ya wazi kufikia hatua baadhi ya makada wake kuanza kutoa vilio vya samaki ambavyo huenda havina machozi wanapoambiwa ukweli juu ya hoja na kura ya siri. Wamekosa hoja wametunga vioja lakini hoja za wanaharakati ambazo zinakwenda sambamba na...
DR SLAA AITEKA KIGOMA: Awasili jioni hii, apata mapokezi makubwa. Msafara wake una magari zaidi ya 22, Pikipiki 150, magari 4 ya Polisi, ulinzi waimarishwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.