Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,864
- 5,672
Poleni sana ndugu zangu wana Chadema kwa matokeo ya Kalenga.
Ni kipindi kingine kigumu baada ya kazi nzito ya kampeni ya wiki nne mfurulizo,
Kwa maoni yangu wana Chadema ni kipindi cha kukaa chini na kutafakari mlipojikwaa, kwani pamoja na kuwashilikisha makamanda wote pamoja na chopa lakini kula zimekataa na kukaribia asilimia 20 tu!
Kwa maoni yangu, Chalinze ni pagumu sana afadhari hata Kalenga, hali ya kifedha ya chama kwasasa ni mbaya sana hasa nguvu kubwa mnayotumia ya kampeni ya kushirikisha na Chopa ambazo zinavuta watoto tu ambao hawajafikia kupiga kura, ambayo ni gharama sana, nawashauri jimbo la Chalinze mjitoe tu kwani ni kupoteza fedha tu na energy za watu halafu muambulie patupu tena na kurudi vichwa chini kama Kalenga!
Nawashauri ndugu zangu Chadema muachane na jimbo la Chalinze.
Nawakilisha.
Ni kipindi kingine kigumu baada ya kazi nzito ya kampeni ya wiki nne mfurulizo,
Kwa maoni yangu wana Chadema ni kipindi cha kukaa chini na kutafakari mlipojikwaa, kwani pamoja na kuwashilikisha makamanda wote pamoja na chopa lakini kula zimekataa na kukaribia asilimia 20 tu!
Kwa maoni yangu, Chalinze ni pagumu sana afadhari hata Kalenga, hali ya kifedha ya chama kwasasa ni mbaya sana hasa nguvu kubwa mnayotumia ya kampeni ya kushirikisha na Chopa ambazo zinavuta watoto tu ambao hawajafikia kupiga kura, ambayo ni gharama sana, nawashauri jimbo la Chalinze mjitoe tu kwani ni kupoteza fedha tu na energy za watu halafu muambulie patupu tena na kurudi vichwa chini kama Kalenga!
Nawashauri ndugu zangu Chadema muachane na jimbo la Chalinze.
Nawakilisha.