Beautyful ones are not yet born,,,,,,
Serikali ina nia ya kufanya mambo mazuri sana bt hawajui namna ya kuyafanya,,,,,,,,,,ona sasa kauli zinavyopishana,,,,,,,,,,tuelewe nn,,,,,,,,,,,,,wametudahili wenyewe leo tunaitwa vilaza!!!! na Tena raisi huyu anaetetea maskini leo anatudharau maskini kwa...