hata mwass wa tuzo za nobel, cku moja akiwa kwenye ndege akielekea kwenye msiba wa mdogo wake, akisoma gazeti alikuta habari iliyo ikisema yule aliyetengeneza bunduku na yy amekufa, kupitia hiyo abar alijifunza kuwa cku akifa watu watasema aliyekuwa akitengeneza bunduki za kuulia watu na yy...
mwanasheria anatetea tumbo lake
bora huo umetolewa bungeni na nawambieni hautarudi tena.
mlikubari mkaingia mkenge mkawa mnawatishia wenzenu walio piga kula ya hapana waliona mbali,
laana isha anza kuwatafuna
bahati haiji mara mbili msha ichezea fursa mliipoteza kwenye bunge la katiba saizi...
hi kadhi ndo nn maana nasikia mahaka ya kiislam, mara wanataka majaji wao walipwe na serikari,
mm napendekeza, walete sheria zao waikabidhi serikari wakikoseana huko wanakuja wanahukumiwa na jaji yeyote
awe mwislam au mkristo anawahukum tu, si sheria zipo, kama wanataka majaji wawe waislam hiz...
angalia sana mleta uzi, kama sio laana inakutafuta basi, itakuwa inakusumbua.
Angalia yasije yakakukuta kama yaliyo mkuta ghadafi.
kuwa makn na watumishi wa MUNGU
Mimi ni Mwandishi wa gazeti la Mwananchi. Wiki
mbili zilizopita tulikuwa na mjadala mkali sana
kwenye kikao cha uhariri cha kuamua habari kuu
za gazeti. Mjadala ulikuwa juu ya picha iliyotumwa
na mpiga picha wetu kutoka Dodoma. Kuna baadhi
ya wenzetu walitaka picha hiyo iwekwe ukurasa
wa mbele...
huyu jamaa nilikuwa cmpendi zamani lakini sasa i am trusting him, maana kajirekebisha na anaonekana ni mtu anaeza leta changes kulikuwa kuliko wote walioko ndani ya ccm. i am sure huyu jamaa atamdondosho lowasa.
yangu macho na hizi mahakama,
hivi hizi mahakama ndio zile mtu akiiba anakatwa mkono au?
ukizini fimbo 100?
cjui sasa akikutwa mkristo kazini na muislam cjui wote wanatiwa bakola au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.