Recent content by madede jr

  1. M

    HESLB mmefanya kazi nzuri sana

    Thursday, October 27, 2016 Taarifa Kwa Umma Kuhusu Bodi Ya Mikopo Ya Wanafunzi Wa Elimu Ya Juu Baada ya kukamilisha zoezi la Uchambuzi wa maombi ya Mikopo 88,163 yaliyopokelewa hadi kufikia tarehe 11 Agosti, 2016. Jumla ya Wanafunzi wapya 20,183 wamepangiwa Mikopo. Upangaji huu umezingatia...
  2. M

    Hivi ni kwanini bodi ya mikopo mnamchonganisha mtukufu Rais na wapigakura wake ?

    Wewe mchakato kati ya TCU na BODI panatofauti kubwa sana,HESLB fomu moja inafanyiwa mambo mengi kuliko TCU na baadhi ya vipengele heslb hawawezi kuvifanyia kazi mpaka TCU wamalize na watume majina HESLB hivyo usilinganishe kazi za TCU na HESLB,Kwa mfano hawawezi kufanya allocations bila TCU...
  3. M

    Mh. Rais Tumia Uzoefu na Ushawishi wako Kuhakikisha Vijana wanapata Mikopo

    Unamwomba rais na waziri wakati wao ndo wanao fanya hayo watoto wa masikini wakose mikopo,kwa kuweka vigezo ambavyo kesho wanageuka na kuwanyima mikopo hawa walio kidhi vigezo,tatizo ni kuwa elimu yetu inaendeshwa kisiasa kila anayekuja anavipaumbele vyake, na mfumo wake, Bodi wao wanapewa...
  4. M

    Bodi ya mikopo na kadhia kwa wadhamini wa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu

    Mdaiwa ikidhibitika amefariki lake linafutwa. ila hapo pengine mmmh!
  5. M

    Msaada kwa wenye uelewa na bodi ya mikopo

    Bodi ya mikopo haiangalii chuo kama ni cha serikali au private,tunachotakiwa kujua ni kwamba taarifa zako ulizo jaza kwenye fomu ya maombi ya mikopo ndizo zinazo tumika kukupimia ni kiasi gani cha mkopo upate na si vinginevyo
  6. M

    MIKOPO KWA WENYE GPA YA 3.O

    Mkuu swala la kufungua system kwaajiri ya watu kuomba tena mokiopo kuna watu waliofika pale Bodi wiki iliyopita waliambiwa haiwezekani labda waziri atoe mamlaka hayo
  7. M

    HESLB Kuna hili limeumiza kwakweli

    10% unalipa wewe kama penalty ya kuchelewa kuanza kuresha mkopo baada ya grace period kumalizika
  8. M

    Wenye GPA 3.0 wataruhusiwa pia kuomba Mkopo?

    Kiongozi nikusaidie kidogo hapo kwenye Bodi ya Mikopo(HESLB) Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) wao hawatoi mkopo kwa kuangalia ufauru wako bali taarifa zako ulizojaza katika fomu ya maombi ya mkopo wako,wao hupewa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu kwa...
  9. M

    Ijue tofauti kati ya HESLB na TCU

    IJUE TOFAUTI KATI YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA YUU (HESLB) NA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) Waungwana nawasalimu Kumekua na mkanganyiko mkubwa kwa baadhi ya watu /wanafunzi kushidwa kutofautisha kati ya Bodi ya Mikopo wa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (heslb) Na Tume ya VVyuo...
  10. M

    Loan Board ichunguzwe upya

    Nyie ndo wale mliosomea cheti kimoja familia nzima
Back
Top Bottom