kato Kazi
Member
- Sep 21, 2016
- 38
- 21
Mimi kabla sijamaliza f6 nilikuwa najua mtu mwenye ufaulu wa wastani kama division two ya 10-12 anaweza kupata chuo cha serikali kama DUCE, MUCE au hata UDOM nikajitahidi kadiri ya uwezo wangu kusoma ili nikifanikiwa kufaulu niwe na vigezo vya kupangiwa hata chuo cha serikali kuepuka ada ya vyuo vya private kilichonikuta niliangukia division two ya 10 HGK nikaomba ualimu vyuo vya government nimekosa.
Kuna mtu kaniambia kuwa bodi ya mikopo ikishaona umechagua chuo cha private wanaona una uwezo wa kujilipia ada na wanaweza kukupa mkopo asilimia chache sana hivi ni kweli usemi huo?
Maana second round TCU hakukuwa na vyuo vya serikali kwa faculty zangu na kwa upande wangu wana ndugu uchumi unayumba nisaidieni ili nianze kufikiria itakuwaje kama ni ukweli.Nitashukuru sana.
Kuna mtu kaniambia kuwa bodi ya mikopo ikishaona umechagua chuo cha private wanaona una uwezo wa kujilipia ada na wanaweza kukupa mkopo asilimia chache sana hivi ni kweli usemi huo?
Maana second round TCU hakukuwa na vyuo vya serikali kwa faculty zangu na kwa upande wangu wana ndugu uchumi unayumba nisaidieni ili nianze kufikiria itakuwaje kama ni ukweli.Nitashukuru sana.