Pole mwaya, ila umerudia kosa ambalo ulishaanza kupona vidonda vyake. Tabia ni ngozi. Kusimanga kupo ndani ya damu huyo, utashinda la nyumba atahamia la kitanda au sofa. Cha msingi na sekondari si una kazi nzuri kwanini usiondoke hapo kwake? Ukapanga binafsi kuonyesha umekomaa. Una watoto...
Pole, lakin kiukweli hukutakiwa kwenda na taulo kwa Shemeji yako. Kwa mazingira haya lazima hisia zake ziende huko. Lakini kabla ya kumgeukia huyu bidada, ww umetambua hilo kosa lako? Na kwa ushaur sasa waone wasimamiz wenu mlizungumze hili. Ikikwama nenda kwa wazee wake.
Umeandika maneno ya shukrani ya dhati. Mungu azidi kukupa Faraja ww na familia yako. Umenigusa uliposema hajakupa tu damu yake bali na mengine. Ni kwa neema tu. Ujumbe wako huu unanipa sababu milion za kumshukuru Mungu kwa kunipa baba, mshauri na rafk kwangu. Mungu akupe amani yake mpz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.