pole sana Dagaa!!! Katika Maisha ya Ndoa Uhaminifu ni kitu cha msingi na kikumbwa sana. Ukimwamini Mume wako na yeye akakuamini hayo yote hayawezi kutokea. sio kuaminiana tu ki mwili, hapana mnatakiwa muaminiane kwa kila kitu, kwa sababu mnapofunga ndoa mnakuwa mwili mmoja.
pole sana. tatizo...
Inategemea mlikutania Wapi na mlikuwa mkifanya nini, huo u boyfriend na u girlfriend ni wa malengo ya mbele au starehe za mda tu????????? huwezi kuwa ulikutana na binti akiwa peke yake tn anakunywa soda/maji then ukamwita akaja na rafikize na kuanza agiza hizo vitu. Ukitaka wakupeleke hivyo...
Mambo Queen,
nakuwa na furaha sana mtoto wa kike anapojitambua na kuonesha nia yake ya kufanya kazi kwa bidii na kwa jitihada za kutosha.
kwanza nipende kukupongeza kwa kuwa una nia na umeitambua nia yako na kile kilicho ndani yako.
pili nipende tu kukupa Moyo ya kwamba unaweza kwa sababu...
Kuna umuhimu pia Wa kujua "mawazo ya mwenzako changanya na yako"
Kamwe Siwez kumshauri Mme wangu eti amtimue mzazi wake yeyote, awe mama au baba, kwangu Mimi ni Wa thamani kwa sababu wao ndo wamefanya niitwe Mrs.... Laiti Kama wasingemzaa Leo ingekuwa historia nyingnge.
NOTE: wamama/wadada...
Aachana nae kwani hana mapenzi ya dhati nae. Na huyo mbeba maboksi kawakilisha wakaka wengi Sana ambao now days wanapenda maisha ya kulishwa.
Kwa upande wangu huwez niambia unanitengenezea future kutokana na hela za mwanamke mwenzangu. Hiyo ni impossible na ni uongo uliokomaa.
Bidada akaxe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.