Wadada acheni hizi tabia

Wadada acheni hizi tabia

mkuu nilivyowasoma fasta walikuwa hawajaja kikazi..mana walikuwa wanachapa umbea tu..nikaona soon wataintroduce kipengele cha msosi..nikaona isiwe tabu ngoja nisepe

Ahhh ww ulifanya haraka, walikuwa tayari ao. Tatizo ulikuwa na papara wangu.
 
Mi sipendi hilo neno la kugonga…!Unanigongaa au tunagongana,cz utamu tunackia wote iweje wew useme umenigonga mim…!
 
hahahahahahaaa sasa dogo unataka watoto wazuri wanywe castle lager au safari?watoto wazuri wanatakiwa kunywa international brand kama savanah,heinken,saint annah kwa mbali windhoek. kama unataka watoto wa kunywa safari au viroba basi tegemea wanawake low quality kama wa kimboka au manzese.

hahahaha nimechek sn afadhali tusaidie kuwafikishia ujumbe
 
hahahaha nimechek sn afadhali tusaidie kuwafikishia ujumbe

Dogo anataka vitu vizuri bure bure,kama anataka watoto wazuri lazima akubali kuingia garama vinginevyo ataendelea kuwaita shemeji hapa mjini. Wanawake wa viroba au safari ategemee madeni wa viwango vya chini sana. Pia awe anawapeleka baa ambazo wanauza bia bei ya chini au siku za promosheni.
 
Waavhe waagize kisha ingia mitini kabla bili haijaja, ukirudia kwa makundi matatu basi watanyooka wote
 
Jamani kuna wadada wana tabia za ajabu sijawai ona kwanza hana huruma na boyfriand wake siku ukimwambia unamtoa out atakuja na wenzake kama wawili au mmoja saa zingine wa 3 ,mwengine anaweza kuwahi sehemu mliyopanga kukutana akiwa na mwenzake kabla hujafika wataagiza soda.

Ukifika tu Savanna zinaanza mwingine mmekutana tu hajui hata mfuko ulivyo akija waiter ni mwendo wa Savanna na kama kuna Pizza hapo ulipo itaagizwa tu halafu wanachagua watu utakuta mko sehemu labda ya starehe kwako anakomaa na Savanna akiwa hapo hapo utakuta huyo kaja na Castle Lite.

Yaani siku hizi na mimi hata kama uwezo upo nitakaa sehemu ambayo najuana na mhudumu yaani yule mhudumu namwambia kabisa hapa wakija hawa wageni sema kuna Local beer tuu hakuna Saint Anna, wala Savanna, hao hao wakiona hivyo vitu hakuna watakunywa kilichopo.

Yani ni siku hizi ni full vurugu

Acha ujinga kijana usitawaliwe na wanawake kuwa na maamzi kama mwanaume sawa
 
Jamani kuna wadada wana tabia za ajabu sijawai ona kwanza hana huruma na boyfriand wake siku ukimwambia unamtoa out atakuja na wenzake kama wawili au mmoja saa zingine wa 3 ,mwengine anaweza kuwahi sehemu mliyopanga kukutana akiwa na mwenzake kabla hujafika wataagiza soda.

Ukifika tu Savanna zinaanza mwingine mmekutana tu hajui hata mfuko ulivyo akija waiter ni mwendo wa Savanna na kama kuna Pizza hapo ulipo itaagizwa tu halafu wanachagua watu utakuta mko sehemu labda ya starehe kwako anakomaa na Savanna akiwa hapo hapo utakuta huyo kaja na Castle Lite.

Yaani siku hizi na mimi hata kama uwezo upo nitakaa sehemu ambayo najuana na mhudumu yaani yule mhudumu namwambia kabisa hapa wakija hawa wageni sema kuna Local beer tuu hakuna Saint Anna, wala Savanna, hao hao wakiona hivyo vitu hakuna watakunywa kilichopo.

Yani ni siku hizi ni full vurugu

Inategemea mlikutania Wapi na mlikuwa mkifanya nini, huo u boyfriend na u girlfriend ni wa malengo ya mbele au starehe za mda tu????????? huwezi kuwa ulikutana na binti akiwa peke yake tn anakunywa soda/maji then ukamwita akaja na rafikize na kuanza agiza hizo vitu. Ukitaka wakupeleke hivyo umependa na ni katabia kako wacha wakushoo.
 
Back
Top Bottom