Jamani hata ingekuwa ww leo ungekuwa tayari kujiacha kwenye midomo ya mamba wakati umeponea chupuchupu? Waombe msamaha kwa kipi hasa..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama amejua, na baada ya kusikitika unahitaji kujua ni yapi maamuzi yake..akuweke mahali salama wewe ili uishi kwa amani. Na hyo mwanamke acha mazoea naye, ila tunza mimba yako mwanaume, na mtoto umtunze usiache maana kama ni damu yako usiihukumu. Tunza ukiwa mbali nae.
Yaani kujibizana na ww ni kujishusha sana.. maana mikomo na midomo yako na akili yako inawaza upuuzi tu.. sasa utamtukana nani au ww ndo bibi wa mjukuu? Yaani walewale Bashii style mna jazba kweli[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.