Recent content by Macompyuta jr

  1. Macompyuta jr

    Ukweli kuhusu maisha ya mbele ya binadamu

    Ila me nahisi muda hatujaweka sisi nahis muda umeanza pale Mungu alipoanza kuumba (kwa wanaoamin) maana bibilia inasema HAPO MWANZO MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI hivyo nahisi alipoanza kuumba tyu ndo kuhesabu kukaanza maana before there were nothing
  2. Macompyuta jr

    Ukweli kuhusu maisha ya mbele ya binadamu

    Hoja yako uliyomaliza nayo inajaribu kugusa kitu kinaitwa grandfather paradox But me kwa akili yangu nahis ukirudi nyuma ufanye hayo mauaji hayatatokea kwa sabb nikitu ambacho kilishapita means kwa lugha rahis tunaweza kusema past us just read only and not read and write by killing them nothing...
  3. Macompyuta jr

    Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

    Mbna jana aliongelea mambo ya kariba na mbiona ailongelea kuhusi act kujiunga na CCM?
  4. Macompyuta jr

    'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

    Nadhan ushajua kuwa kaz yake ni kutunza huo uchafu so jua ina kaz sio kwamba haina kazi
  5. Macompyuta jr

    'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

    Kama kweli appendix haina kazi subiri ijae ndo utajua ina kazi au haina?
  6. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    yah ninachojaribu kuongelea kwenye huu uzi ni kuhusu historia ya afrika tunayoijua sasa hivi kama ndo sahihi ndo maana najaribu kutafta kweli mbalimbali lakini cha ajabu waafrika ndo wa kwanza kunipinga aidha ni kushukuru kwa mcahngo wako wa muhimu
  7. Macompyuta jr

    Mwisho wa dunia ni Kati ya mwaka 2100 / 2500 na hizi ndio sababu zangu

    umetisha jamma laikin kila kitu kinawezekana japo kwa mda mrefu
  8. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    tujaribu kuendelea na uchunguzi huu wa kihistoria nitajaribu kidogo kuangalia mada ya ugunduzi wa bara la amerika pia nadharia kuwa watu wa kwanza wa amerika afrika naanza kama hivi Ugunduzi wa bara la amerika Wengi wetu tumejifunza kwamba Columbus ndo mtu wa kwanza kufika amerika akiwa kama...
  9. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    Ingefaa ndugu ungekuja na ukweli kujibu hoja yangu maana hapa hii kitu nimeipta kwenye gazeti la hiyo tarehe nimetaja Asante ndg bado nipo chimbo najaribu kutafta mengi kuhusu hili swala
  10. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    Ingefaa ndugu ungekuja na ukweli kujibu hoja yangu maana hapa hii kitu nimeipta kwenye gazeti la hiyo tarehe nimetaja Asante ndg bado nipo chimbo najaribu kutafta mengi kuhusu hili swala
  11. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    Ingefaa ndugu ungekuja na ukweli kujibu hoja yangu maana hapa hii kitu nimeipta kwenye gazeti la hiyo tarehe nimetaja
  12. Macompyuta jr

    Je, hii historia ya Afrika tunayofundishwa ndiyo yenyewe?

    Katika pitapita zangu mtandaoni nimewahi kukutana na watu wengi wakilalamika kuhusu kufichwa kwa historia halisi ya Afrika na kufundishwa historia ya wakati wa ukoloni jambo hili nililipenda sana hasa kutokana kuwa mimi ni mtu nayependa kufukunya mambo mbalimbali, nilivyotafakari nikaona hii...
  13. Macompyuta jr

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Kwa waliosoma biology zipo sababu za kitu kuwa hai nazo ni naomba nizitaje kwa kizungu 1. Reproduction 2. Growth 3. Feeding 4. Respiration 5. Excretion n.k hzo zitatosha hapo Virus anaweza kuwa katika hali mbili yan hai au sio hai ni hai kwakuwa akiwa kwenye mazingira yanayoruhusu yan (when...
Back
Top Bottom