Utakuwa umenielewa bibilia haijataka kutoa description zaidi kwa sababu sio center of attention, lengo ni kumjua Mungu sio shetani, sababu ukimjua Mungu huna haja ya kuangaika na shetani, ndio maana maelezo ya miungu hiyo ni machache kwenye biblia
Ni kweli binadamu, tuna upekee mbele za Mungu ila hakuwahi kuwafanya malaika wamsujudie mwanadamu, ukristo unaamina anaepaswa kusujudiwa ni Mungu pekee... Lakini kiuwezo malaika wana uwezo mkubwa kuliko binadamu, ni kinyume na kanuni za asili kiumbe chenye uwezo mkubwa kuwa chini ya kiumbe...
Umejibu vyema, sema nawaza je katika muda wowote hapa duniani kuna mtu ambae ni msafi na mtakatifu? Au ndio lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu kinawezekana?
Yes, swali lake ni zuri sana tu, sababu kumbuka bibilia inasema kwenye mbingu mpya na nchi mpya dhambi haita kuwemo... Sasa je kivipi wakati hata mbinguni hakukuwa na dhambi lakini shetani alipata wazo la dhambi?
Kama binadamu tatukuwa huru kama kipindi hicho na sasa, hawatafikiria uovu kama...
Yes, swali lake ni zuri sana tu, sababu kumbuka bibilia inasema kwenye mbingu mpya na nchi mpya dhambi haita kuwemo... Sasa je kivipi wakati hata mbinguni hakukuwa na dhambi lakini shetani alipata wazo la dhambi?
Kama binadamu tatukuwa huru kama kipindi hicho na sasa, hawatafikiria uovu kama...
Biblia inasema kipindi cha ibrahimu, babeli iliyokuwa ur ya wakaldayo waliabudu miungu mingine tofauti na Yahweh hilo linatabulika ila ni Miungu gani tena haswa kwa majina nadhani haina maana kwa tuwajue ili iweje? As long walikuwa miungu wasiopaswa kuabudiwa utambulisho huo unatosha...
Maana ya uisilamu si ndio kujisalimisha, unajua sababu gani wamesema hivi, sababu hakuna maandiko yeyote ya 'kabla ya kushushwa kwa Koran kwa Mohammad' yanayoongelea uislamu popote, ndio maana mkiulizwa hilo swali mnakimbilia kusema maana ya uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu
Pia hao wayahudi...
Hivi tumia akili hata ya kuvukia barabara, ndio wakizitaka wanazipata, kwanini sasa wazitake siku chache kabla na mpaka siku ya shambulio? Tukisema wanahusika tunakosea?
Tuna Roho mbaya... Huu ndio mzizi wa umasikini Africa, maarifa dio shida kwani yanaweza kuhamishika, raslimali zipo za kutosha, lakini ili mtu uendelee lazima kuwe na balance kati ya akili, mwili, na roho... Africa kimwili na akili tupo sawa ila shida tuna roho mbaya ya mtu kujiangalia yeye tu...
Hivi kama
huyo mtoto angefanikiwa kumchoma kisu jamaa asingedhurika hata kufa.... Sasa kwanini akiuawa mtetea ni mtoto, hii chuki wakulaumiwa ni wanaonufaika na mzozo wa palestina na israeli, shauri yao wanaopigana... Kuna busara katika kugeuza shavu la kushoto, kuliko jino kwa jino na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.