BORA KUWEKEZA BIASHARA YA NYUMBA KULIKO BIASHARA YEYOTE MI MWENYWE SHUHUDA HOME HAPA KWA MWAKA TUNAPOKEA SI CHINI YA MILION 20 NA KITU KWENYE NYUMBA 4 HUKU TUNAPIGA HARAKATI ZETU ZINGINE TUNAJUA MWISHO WA MWEZI UWAKIKA CHANGAMOTO KWENYE HII BIASHARA NIKUCHELEWESHEWA KODI YAKO TU AMNA KINGINE NA...
[emoji16][emoji16][emoji16]acha kupotosha watu sisi dar tuna nyumba zaidi ya 4 lakin upiga kwa mwaka hela tunayo chukua si chini ya milion 16 na nikufumbue katika biashara ambayo haina hasara ni nyumba ni bonge la biashara watu kila siku wanakuwa wanahitaji kuishi maisha yao hapo kwenye nyumba...
iyo ni infectious coryza (mafua makali ya kuku) hii inasababishwa na bacteria ambao hutokana kutoweza kusafisha banda pia na kuku kukosa hewa bandani na vitu vingine vyo ugonjwa huo unaweza kutibu kwa dawa zifuatazo tylosin na fluban
*TUNAUZA VYAKULA VYA MIFUGO KWA BEI NAFUU*
Huduma ya Usafiri ipo.[emoji1631]🛺[emoji597].```
Mashudu ya Alizeti - @480/kg
Mashudu Alizeti sagwa- 500/kg
Mashudu ya Nazi - @350/kg
Mashudu ya Ubuyu - @350
Mashudu ya Pamba - @800/kg
Chokaa - 100/kg
Damu kavu - 500/kg
Mifupa Og - 300/kg
Chumvi -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.