Unataka kupeleka huduma gani!?Nmekaa kutafakari maisha, nikapata wazo la kufanya biashara kwenye vijiji vya mbali sana. Vijiji vinavyofikika kwa ugumu na vyenye ufinyu wa huduma. Vijiji ambavyo hata huduma ya mawasiliano isipokuwepo ni poa tu.
Unakifahamu kipi?