Recent content by macjay

  1. macjay

    JamiiForums Tanzania Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

    Mabaya ya Moshi na Kilimanjaro 1. Ardhi hawa jamaa hawauzi ardhi kirahisi. Usinunue eneo Moshi bila kufanya uchunguzi wa kutosha unaweza kujikuta kwenye mgogoro na familia 2. Manispaa ina eneo dogo sana hivyo mji unatanuka kwenda Moshi vijijini ..maeneo ya KCMC , kiborloni unaweza kuuziwa...
  2. macjay

    JamiiForums Tanzania Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

    Naishi Moshi toka 2014 mpaka sasa na nimezurula kiasi fulani ndani ya Tanzania. Kuhusu Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla Mazuri yaliyopo 1. Elimu ..jamaa wanathamini sana Elimu ..familia nyingi kiwango cha chini cha usomi ni kidato cha nne 2. Fighting spirit - wanapambana sana katika kutafuta...
  3. macjay

    JamiiForums Tanzania Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

    Bado siku chache ndani ya wiki ijayo tutaona tofauti Kati ya Mama na JPM .....may day Tulupigwa raba miaka 5
  4. macjay

    JamiiForums Tanzania Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

    Kibajaji nae ilibidi Alie Basi nyongeza msisitizo
  5. macjay

    JamiiForums Tanzania Geoff Lea: Simba wanajulikana kwa kutumia mbinu chafu wakiwa nyumbani

    Wakati Simba washaenda SA kuandaa mazingira ya second leg ....Yanga ,Azam na mafala wengine wanangaika katika media kuongelea game ambayo ishaisha........... Endeleeni tu kuwa wa baridi mwakani mnakuwa bao la shabaha.......... Fist game na kibonde second game Pyramid hawa,,,,......Safari imeisha
  6. macjay

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina awaumbua wanaotaka kufuta "Legacy" ya Hayati Dkt. John Magufuli

    Katika maelezo ya Mpina hapo juu ..yaliyoletwa na mleta uzi yana sentensi hii ""mikopo ya elimu ya juu kutoka bilioni 348.7 mwaka 2015 hadi bilioni 450 mwaka 2020.'' Anaona raha kuitamka tu, angejua wanufaika tuliishi kama "mashetani" baada ya upindishaji wa sheriia ya Makati uliofanywa na...
  7. macjay

    JamiiForums Tanzania Wanachojisahau team mwendazake, Vile Kinana alivyopita kwa 100% ndivyo SSH atashinda huko CCM 2025 kwa 100%

    Labda mtauana ndani ya chama .....watanzania hawa hawa ambao hata kuandamana hawajawai... Teh .....teh imekula kwenu Hilo lenu ambao mpo madarakani watanzania wala msituingize
  8. macjay

    JamiiForums Tanzania Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

    Angeendelea kidogo angetumiwa namba yenye country code ya Senegal
  9. macjay

    JamiiForums Tanzania CCM ya sasa ni ya kupambana na marehemu

    Uanajua kwa nini mnapambana wenyewe kwa wenyewe ...... Hakuna uchaguzi utakaoamuliwa na wananchi la zaidi watu wanaweweseka ishu ya "nomination " ndani ya chama...... Watu wanaogopa kuliwa kichwa katika mchujo ...... Ndo maana watu wanaruka na kukanyagana
  10. macjay

    JamiiForums Tanzania Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

    Mtàa gani wewe! Hapa stendi tunammaindi sana alivotuambia tubebe mavi yetu!
  11. macjay

    JamiiForums Tanzania Nahodha ama admiral ya meli ya Urusi iliyozamishwa kashikwa na kufungwa

    Na huko ndipo tunapoelekea " kuleni mtori nyama mtazikuta chini"
  12. macjay

    JamiiForums Tanzania Hata Kitila Mkumbo alitumwa kunishawishi nijiunge CCM - Sugu Mbilinyi

    Wewe nawe ulikuwa unatiririka mpaka ukaitwa "njaa' baadae ukapata washauri ukaanza kuimba "mapambio'
  13. macjay

    JamiiForums Tanzania Genge la mwendazake hawaamini Samia Suluhu angefika hapo alipo wana chuki balaa

    Hivi wewe no CCM kweli !!!
  14. macjay

    JamiiForums Tanzania Genge la mwendazake hawaamini Samia Suluhu angefika hapo alipo wana chuki balaa

    Huyu ticha atakuwa Magu na walimu wa Jogi was zamani watakuwa wale walidaiwa " wanawashwa' teh! teh !
  15. macjay

    JamiiForums Tanzania Genge la mwendazake hawaamini Samia Suluhu angefika hapo alipo wana chuki balaa

    Havamini macho yaooooo! Kigoma Cha wekundu was Msimbazi
Back
Top Bottom