Huko ni kujiendekeza tu. Kabla ya kuolewa dada yao walikua wanaishije, maisha magumu sasahiv WAGEN ambao hawana moangilio sio fresh na Wala sio roho mbaya
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mimi ndio maana kila mtoto WANGU akisogea darasa huwa natenga siku NANUNUA sukari, sabuni, chumvi, vitunguu naafuta nawapelekea japo kidogokidogo na huwa wanafurahi Sana zaidi ya Sana. Utakuta mwalim kavaa liatu au shati limechakaa had huruma Yaani hata Mimi ninae fanya biashara ya umachinga...
Kwa kipato chake, mbona nyingi Sana Mimi binafsi million ya pamoja sijashika kama yangu....mtu anasilimua kafilisika elfu 50 itakua M.4 acha masihara mkuu alaf KUMBUKA kakwambia kwa miaka iyooo
Hayo ndio yanayo nikost Mimi na mume WANGU... FUNGA, fungua kila siku ela z uku zinaend kununua vinywaj kwa wiki yeye peke yake anakunyw kret 3 had 4 maana anajua n MARAFIKI na si mchoyo....nimeongea NIMECHOKA NIMEAMUA nikae kimya na mm sinywi pombe lakin mwenzangu Muhaya huyu anakoga sio kunywa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.