habari zenu wadau ,,,nataka nifanye biashara ya samaki aina ya sangara na sato toka mwanza naleta dar es salaam ,nmefuatiria mambo yote yanayohusiana na biashara hii ila nakwama sehemu mja tu ya kuhifadhia mzigo(freezer) kwani kiasi cha pesa nilichonacho hakitoshi kufanya yote .Naomba msaada...