Recent content by MACHONDELA

  1. M

    Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

    PM,poizoouone master Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  2. M

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Beki wa mpira kaumizwa Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  3. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yes Sana mkuu,tena Sana.Ndo hivyo ameanguka,trh 18.01.2024 mwili utaingia Dar kutokea Japan,alikuwa anakula PhD,r.i.p @z.z.rumisha Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  4. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu mwili wa mwana thread mwenzetu@z.z.rumisha aliyafariki uko Japan tarehe 01.01.204 akiwa anafanya PhD unatarajiwa kuwasiri Tanzania tarehe 18.01.2024. Zoezi la kumuaga marehemu litafanyika DIT,tutaendelea kupeana updates ili watakao pata nafasi washiriki kumuaga mwenzetu huyu ambaye...
  5. M

    Vigogo watano Polisi Arusha mbaroni kwa rushwa ya Milioni 10,mmoja ashikwa na presha aanguka akihojiwa na tume ya IGP

    Kuna mmoja niliona salary slip yake ni aibu,take home chini ya laki 3,duh wacha wale rushwa tu Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatari kaka,Mimi Nilikuwa nawasiliana naye almost kila siku,juzi tumeongea Sana ila jana akawa hayuko online Leo nimepata taarifa rasmi ya kifo chake Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  7. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Member mwenzetu huyu @Z.Z.rumisha amefariki Dunia huko Japan alikokuwa anafanya PhD,taratibu zaidi za logistic nzima ya mazishi itakujia hapa Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  8. M

    Waziri wa Michezo, FIFA na CAF tunaomba tusaidieni: wachezaji watoto wameanzaje kutumikishwa kujenga miundombinu ya michezo Tanzania?

    Halafu swali la kujiuliza ni kwamba kama wasingeshinda hiyo miundo mbinu isingejengwa au
  9. M

    Muungano bado una shida nyingi tusidanganyane

    Labda T ni Tanganyika who knows,atleast hapa Tanganyika inatajwa
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daah Leo Leo tu tumeanguka
  11. M

    Naombeni muongozo wa kupima DNA

    Hapana,mtu binafsi unapima muhimu uwe na mwanasheria ndiye atakayeomba Hilo ila inapimwa tena Kwa laki 3 tu majibu unayapata
Back
Top Bottom