Wazazi waangalie majina ya kuwapa watoto wao,Jina zuri kama Muhammad au Issa mwana wa Maryam,au basi la kibantu kama langu hili Machirika hawakuona hadi wampe jina mtoto wao Maharage kweli?
Kwani kuna shida gani??ila wangekuwa friends of mbowe hapo usingekuja kubwabwaja humu juu ya hilo,unaona wivu watu wakimsifia Rais wao??mbona wanapokosoa wengine we unashangilia??
Kwahiyo atakuwa ni mwenyekiti wa chama hadi kifo kimkute hapo siyo??
Sasa hiyo demokrasia anayohubiri siku zote iko wapi??
Je,hautafakari hata kwa hilo dogo tuh??
WE SUKUMA GANG HATA HUJUI UNAONGEA KITU GANI,ULANGUZI WA KOROSHO HUKO MTWARA KWA MFANO HIVI UNAFAHAM NI KWA KIAS GANI MAGUFULI KAWATIA WATU UMASIKINI HUKO KUSINI AU UNAONGEA TUH
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.