Recent content by MACHIRIKA

  1. M

    Mbowe na siasa zake za "I am the only negro incharge in here"

    Chadema kimekuwa chama MFU kwa sababu ya mbowe na siasa zake za udini na ukabila
  2. M

    UTEUZI: Maharage Chande aondolewa TTCL, ateuliwa kuwa Postamasta, Ulanga arudishwa TTCL

    Wazazi waangalie majina ya kuwapa watoto wao,Jina zuri kama Muhammad au Issa mwana wa Maryam,au basi la kibantu kama langu hili Machirika hawakuona hadi wampe jina mtoto wao Maharage kweli?
  3. M

    Mdude Nyagali anadai Dkt. Tulia anataka Kumuua

    Makada wa chadema hao
  4. M

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Hiyo wizara me nashauri apewe boniface mwabukusi
  5. M

    Nani yuko Nyuma ya hizi taasisi za kumsemea Rais. Je, zinaendeshwa kwa ufadhili wa fedha za nani? Na Nini hasa makusudio Yake?

    Kwani kuna shida gani??ila wangekuwa friends of mbowe hapo usingekuja kubwabwaja humu juu ya hilo,unaona wivu watu wakimsifia Rais wao??mbona wanapokosoa wengine we unashangilia??
  6. M

    Nachingwea wazidi kurudisha kadi za CCM

    Hakuna wamakonde wajinga wa kuweza kumtaa samia hata siku moja
  7. M

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Biteko kuzungumza na wafanyakazi wa TANESCO

    Kwani Tanesco miyeyusho mmeanza leo??wakati mnasaidiana na maaskofu kuiba pesa za escrow kwani waziri alikuwa makamba?badilikeni TANESCO
  8. M

    CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

    Chadema na Tec ni bibi na bwana,usihangaike nao hao,lao moja
  9. M

    Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    Kwahiyo atakuwa ni mwenyekiti wa chama hadi kifo kimkute hapo siyo?? Sasa hiyo demokrasia anayohubiri siku zote iko wapi?? Je,hautafakari hata kwa hilo dogo tuh??
  10. M

    Inakuwaje mtu anatoa posa then anapangiwa mahali halafu anapotelea mitini? (Haoi)

    Unatoka nyumbani una baibui,ukifika mtaani una kiminiii,hutaki kabisa kutuliaaa,me nasema nenda zakoo,mi sikutaki teeenaa...!!
  11. M

    Mchungaji Mwakipesile: Namuunga mkono Tundu Lissu kwenda Ngorongoro kuongea na Wamasai lakini ananikeraga anapomsema vibaya Hayati Magufuli!

    WE SUKUMA GANG HATA HUJUI UNAONGEA KITU GANI,ULANGUZI WA KOROSHO HUKO MTWARA KWA MFANO HIVI UNAFAHAM NI KWA KIAS GANI MAGUFULI KAWATIA WATU UMASIKINI HUKO KUSINI AU UNAONGEA TUH
  12. M

    Mchungaji Mwakipesile: Namuunga mkono Tundu Lissu kwenda Ngorongoro kuongea na Wamasai lakini ananikeraga anapomsema vibaya Hayati Magufuli!

    Mkuu ile 1.5 Trillion ambayo CAG ALISEMA HAIJULIKANI ILIPO UMESAHAU KUONGEZEA HAPO,ASANTE
  13. M

    Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    Kwani ni uongo?? Mbowe ana miaka mingapi kwenye hiyo nafasi yake ya uenyekiti??
Back
Top Bottom