Recent content by machinetools

  1. M

    Msaada wenu wakuu, nakosa usingizi

    Usiku wakati wa kulala chukua maziwa fresh ya uvuguvugu kikombe kimoja na vijiko viwili vya asali mbichi (nyuki wadogo au wakubwa) changanya kunywa ......usinywe asubuhi utasinzia saana
  2. M

    Usikubali kuliwa hivi hivi

    Unachati vp na mtu hajui hata Kuandika ......nini hicho? [emoji26][emoji26] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

    Hahahha Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

    Hahhahahaah Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

    Ni kweli hasa Shingo ...utadhan kondoo [emoji23] [emoji31] [emoji31] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Ukiachwa achika

    Ni wewe mwenye roho hiyo kuna wanaume wana mambo ya kiree Sana..... Mimi alisubiri nikasafiri akabeba hadi dekiio[emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Ukiachwa achika

    Miaka ya nyuma ilinitokea...... Dah acha tu, sikukubaliana na Hali halisi iliniumiza Sana maana nilikuwa naona bila Jamaa siwezi Dah... Ila niliumia jamani but time heals everything, nikaamua nikamsamehe nikamove on now am happy na nimejifunza kukubali matokeo iwe nimeloose or nimewin Sent...
  8. M

    WANAUME WA DAR

    Wanajua Sana kujiongeza sio magoigoi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Natafuta Secretary

    Nimekupm mkuu
  10. M

    Jinsi ndoto yangu ilivyoanza kusuasua

    Kichwa kinabeba Mengi Sana siandiki hili nikutishe but Bibi yangu aliumwa kichwa almost 20 yrs mwishoni kabisa tunaambiwa ana kansa ya koo na ubongo..... Hilo sio Tatizo dogo liangalie kwa ukaribu
  11. M

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Nyingine tena..... Siku hy nipo home Nimekaa sebulen Akaja mtu akagonga nikaenda kumsikiliza nikamkuta muuza mkaa Katuletea mkaa( muuza mkaa Kutoka bush) Nikamsalimia nikamuona ananiangalia tu kumbe bana nilikuwa Nimevaa surual halafu zipu imefunguka saa nyngi ( Mimi ni KE) na sijavaa Chupi basi...
  12. M

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Nakumbuka Enzi hizo nilikuwa Nasafiri kwenda Rwanda na taqwa..... basi Tumbo likaanza kunisumbua na bus letu lipo Katika folen ya Kukaguliwa .....tumbo likachachama nikaamua Nishuke nikaangalia kwa mbali nikaona Kama nyumba nikajisogeza maeneo hayo Nikamkuta mama wa makamo anasonga ugali basi...
  13. M

    Nimekutana na malaika

    Kabisaa Lazima ujikaze kikike[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....wanaume Hampendi kuombwa pesa ila papuchi mnataka mfyuuuu
  14. M

    Nimekutana na malaika

    Well said...... Point hapo ni pesaaa
Back
Top Bottom