Kwa kiongozi akishatoka madarakani waga yanasemwa mengi sana, raisi hawezi kupendwa na kila mtu ata siku moja, haya yalikuwa wapi kabla hajamaliza muda wake na uzuri wa nchi ya marekani wanachi wana uwezo wa kusema chochote kuhusu kiongozi wao ata kama ni jambo la kumdhalilisha
All in all hii...
Biashara ya unga imekuwa mbaya sana hizi siku za karibuni maana mnunuzi kawa mmoja nayeye ndio anapanga bei, mtafute kiongozi wa chama cha makondakta anaweza kununua ila kwa bei anayotaka yeye kama utaridhika mfanye biashara then yeye ndo atauza kwa wateja wake
Kama kombi hazijabalance hapo huwezi kuchaguliwa shule za government, ila kama nia yako ni kusoma advance basi inabidi uende private school, huko unaweza kusoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.