Nitafute kwa 0716229409 ( saa za kazi yaani kuanzia saa Mbili asubuhi hadi saa Kumi jioni. Nitakupa ushauri uupime halafu uamue.Nimesoma art na nimepata 4 ya 28 yaan
Eng c
Kiswah c
Geog d
Hist d
Civ f
Math f
Na bios d
Nikasomee nn ili nihikomboee au niende chuo gani ili nifanikiwe msaada tafadhaliiii
Kama kombi hazijabalance hapo huwezi kuchaguliwa shule za government, ila kama nia yako ni kusoma advance basi inabidi uende private school, huko unaweza kusomaIvi jamani ukiwa na c 4, D 3 na f moja combi ijijabalance je A level utaenda embu naombeni ushauri apo