Ww kahawa IPO nenda town karibu na Airtel jengo la kanji lalji kuna Cafe moja matata inaitwa Ridge cafe unapata kahawa ya kimataifa kaptichno na zingine
Kaka
Suala hili la kahawa si kama unavyofikiri ni biashara ambaye wanafanya watu wenye hela zao a wako makini sana kuangalia ubora na si wingi wa kahawa uliyonayo unachoona hapo hao sturbacks mwaka huu wamejitoa kununua kahawa ya Tanzania hiyo ni ambaye makampuni yaliwekeza huko nyuma Kwa...
Kaka ziara ya Bill Gates Tanzania ni tofauti sana na unavyofikiri ww upo kisiasa sana ila Bill Gates ana miradi mingi anaifadhili Tanzania hususani sector ya Afya na Kilimo kupitia shirika lake la Bill and Melinda wanatoa hela kupitia NGO kibao Tanzania na Taasisi nyingi sana hiyo ndio alikuwa...
Kaka yote mawili kula bata na kazi nitakuwa na ten days pale.Mtu ananipatie hotel zao na vyakula pamoja na wadada wazuri huko kingereza au kiswahili sijui french mm au kinyarwanda
Hapo inatategemea makubaliano yenu wewe na mpangaji,Kwanza kama atakuwa analipa Withholing tax kabla ya Kodi au baada ya kodi ila kwa Mujibu wako ni hivi
Mkataba ni miaka mitano kwa TZS 12M kwa mwaka hapo inatakiwa ukatwe asilimia 10 ambayo ni TZS 1,200,000 kwa mwaka na kwa miaka mitano hiyo...
Kiukweli,nataka nikwambie tuache unafiki NSSF weka pembei wala usijaribu kujiunga kabisa ni shida tena shida wakati unataka kuchukua mafao yako na yanakuwa kidogo sana ila nakuomba ingia LAPF hutajuta na wana formula nzuri ya ukokotoaji mafao inapishana kidogo na PSPF.Muhimu LAPF mkuu na...
Mkuu nataka kwa ajili ya biashara halafu complete laundry na dry cleaner units kama ilivyo bei yake kamanda wangu.Pamoja na kupiga pasi na mashine ya kusafishia maji
Makato ya mifuko ya hifadhi ya jamii hukatwa ifuatavyo kisheria inatakiwa ukatwe kwenye Basic Salary bila kuwepo na allowance nyingine kama Overtime,housing nakadhalika,hiyo ndivyo makato hukatwa lakini mwajiri wako akiwa ni mwema kwako Basi huchanganya na allowance zako hizo ili uweze kuwa na...
Hapo naona kutakuwa na programu maalum kwa ajili ya vitu kama hivyo na wale jamaa wakati wanaingia kwa gari walikuwa wamevaa gloves kwenye mikono yao hivyo ni viashiria kuwa ni vigumu kuacha alama za vidole,hii inaonyesha technologia kwa wenzetu iko juu sana na wamejipanga kwa matukio ya...
Nimefuatilia kwa karibu tukio la ufaransa ila kilichonishangaza hawa jamaa walifanyaje hadi kuona sura za wale vijana wakati walikuwa wamevaa kininja please mwenye uelewa wa technology ndani ya masaa machache tayari walitoa picha zao bila ya vijana kutarajia. Tafadhali wenye uelewa kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.