Technologia ya vyombo vya dola vya ufaransa

Technologia ya vyombo vya dola vya ufaransa

hawakua na tech yeyote,mmoja alisahau ID ndani ya gari,nikipata mda ntaiweka hapa hiyo id,kisha wakamtambua yuko kwenye database zao,kisha wakajua ana ndugu yake ambae nae alikua anamiss,toka hapo haikua kazi kupata picha kwani walikwenda kupekua kwao.

Hakuna alieacha ID kwenye gari. ...kilichofanya wakagundulika ni vidole na DNA. .....mdogo mtu ameshakaa rumande kwa miezi kama minne kwa sababu ya mambo haya ya kigaidi kisha akaachiwa. ...kaka mtu nae amewahi kukamatwa na police. .......picha tulizoziona kwenye tv ni picha ambazo zikishatoka kwenye magazeti mwaka 2007
 
wnakuza picha wanavuta mtu karibu, wanadeala na sura , wanaanza kudeal na layer moja baada ya nyingine hadi sura ya mtu inapatikana, ni rahis tu
 
Hebdo%20ID.jpg
.
in the recent Paris shootings, police have identified the alleged perpetrators by means of an ID card which one of them CONVENIENTLY left in the getaway car.
Analysts have pointed out that the attack was carried out with military precision and skill.If you watch the footage of the getaway (shot by Amchai Stein, deputy editor of Israel's IBA Channel 1, who "just happened" to be on the scene), the perps wore hoods over their faces: they clearly did not want their identities known. Why, then, after all this precision, did they carelessly leave identification in the car? Could it be that the masked shooters were NOT the same men whom the ID card has sent the police chasing after? (Perhaps the Mossad believes all French detectives are Inspector Clouseaus, but more likely they rely on compliant Freemasons within Law Enforcement who will obey their Masonic oaths of absolute obedience and secrecy in exchange for promotions and other material rewards.)
A detailed, ongoing debunking of the Charlie Hebdo shootings may be found at: http://www.jimsto nefreelance.com/..

henrymakow.com - Exposing Feminism and The New World Order
 
Hivi mnaojadili humu mko dar au ughaibuni??? ughaibuni issue ikishatoka tu kwenye tv kama ile watu wa mtaani wanapiga hata simu kwa polisi kusema ile address kuna two missing persons...wajomba wanacheck wanaoishi hapo then wanafuatilia...watu wote nchi nzima mko kwa data easy kupatikana sio bongo nchi haina record ya wananchi wake...inapokua fununu then ndo wanaingia deep na hayo yote dna,vidole,n.k....na ikiwa kama ndo ulishaingia mikononi mwa sheria ndo easy zaidi ni kama kumsukuma mlevi unapatikana haraka sana..
 
Vita vya Afghanistan vilipoanza marekani aliprogram drones zake zikiona mtu ana futi sita na zaid vilipue mabom. Wadau warefu walikufa sana kwasabab ya osama. Yani kitu hakina ruban kikiona tu mtu mrefu maeneo ya tora bora kinadondosha ki2 kizito chenye ncha kali kikigusa ardhi kinalipuka maamae
Drone haiwi programmed,inaongozwa toka ardhini.
wakati wa torabora drone zilikua hazijawa active vitani.
 
Hakuna alieacha ID kwenye gari. ...kilichofanya wakagundulika ni vidole na DNA. .....mdogo mtu ameshakaa rumande kwa miezi kama minne kwa sababu ya mambo haya ya kigaidi kisha akaachiwa. ...kaka mtu nae amewahi kukamatwa na police. .......picha tulizoziona kwenye tv ni picha ambazo zikishatoka kwenye magazeti mwaka 2007
Kama walikua wamevaa gloves ni ngumu kupata alama za vidole na kwajinsi walivyokua wamevaa hood kichwani,uwezekano wa kudondosha unywele ambao ungetumika kumach DNA ni mdogo.labda kama ni wavuta sigara vikutwe vipisi.
 
Mkuu Umeongea Kweli,ila Wale Hawakuchomwa Na Alama Za Vidole,alama Za Vidole Ni Hadi Mtu Awe Amekamatwa Then Wanampima Na Kufananisha Na Sampuli Zilizohifadhiwa,ina Maana Hapo Anakuwa Ready Detained Ndo Alama Za Vidole Zinafanya Kazi,wale Magaidi Walikuwa Wamejificha Kwenye Ghala Au Niseme Godauni Nje Ya Jiji La Paris,ndipo Baada Ya Kubaini Kwa Intelligency Iliyokuwa Imewekwa Wakavamiwa Na Ndipo Yakatokea Majibizano Ya Risasi Ndipo Walipouawa,ila Lengo Lilikuwa Ni Kuwakamata Wakiwa Hai Wakakataa Kutii
Walikua tayari na rekodi polisi,lakini dna au alama za vidole si njia waliyotumia kuwafahamu,kwani walikua wamevaa hood sasa ingekua kazi kupata unywele waufanyia dna test.kuhusu alama za vidole itakua walikua wamevaa gloves kwahiyo hawawezi kupata alama ,labda kama za mda mrefu kama walizipata.
pia hao jamaa askari walikua wazembe mpaka gunmen wakaweza kutoka nje ya paris badala wangewahi kuuseal mji.
walikimbilia msituni na askari mpaka keshoyake asubuhi hawakuwa wamewapata mpaka hao jamaa walipo breakcover(kujitokeza)na kuteka gari wakijaribu kurudi paris na car chase ikaanza na kuishia katika ghala
 
Duuhh!!!!!
Tuwaombeni waje bongo hao maaskari.Maana kova kawashindwa PANYA tu!
 
Ipo Technology Flani Ambayo Nimeisahau Jina,technology Hiyo Ndo Ile Ambayo Mtu Anaweza Tu Kuongea Kwamba Nilimuona Haji,ni Mweusi,ana Sura Pana Kidogo,ana Macho Madogo,mdomo Mkubwa,pua Pana,then Mtaalamu Anachora,hiyo Picha Inakuwa Kama Sura Halisi Ya Yule Mtu,pia Hata Mtu Akivaa Kininja Picha Huwa Inakuzwa Kwa Darubini Maalumu Kali Sana Ambayo Ina Scan Sura Halisi,ni Kama Darubini Ambayo Ina Nguvu Kama X ray,halafu wakati wale magaidi wana escape zile kamera za mitaani CCTV,zilifanyiwa Footage Kutoka Eneo La Tukio Hadi Walipoishia,ikawekwa Intelligency Ya Hali Ya Juu Sana,kingine,wenzetu Hawafanyii Kazi Njaa Kama Sisi,kule Police Ni Police Kweli,anaipenda Kazi Yake Ni Mzalendo,jasusi,jasusi Kweli,yaani Wapo Dedicated Na Kazi Zao,wana Wito Halisi Na Si Njaa,kumbuka Ni Majasusi Wa Ufaransa Ndo Walimkamata Carlos The Jackal Akiwa Kajificha Khartoum Sudan,wale Ni Askari Wa Kweli Hasa Siyo Kama Kova,anayefanyia Kazi Njaa Kuifagilia haramu ccm na kuonea raia wasio na hatia,Tanzania Hakuna Police Wa Kweli Ni Njaa.

Mkuu nakupa like, umeniconvice haswa. Tiririka basi na carlos walimkamataje huko sudan
 
Kama walikua wamevaa gloves ni ngumu kupata alama za vidole na kwajinsi walivyokua wamevaa hood kichwani,uwezekano wa kudondosha unywele ambao ungetumika kumach DNA ni mdogo.labda kama ni wavuta sigara vikutwe vipisi.

mkuu hapa marekan ata kama umevas baibui na kininja picha yako inawekwa kwenye computer kuna program zinakuvua ulivyojifunika na sura yako inaonekana
 
Hapo naona kutakuwa na programu maalum kwa ajili ya vitu kama hivyo na wale jamaa wakati wanaingia kwa gari walikuwa wamevaa gloves kwenye mikono yao hivyo ni viashiria kuwa ni vigumu kuacha alama za vidole,hii inaonyesha technologia kwa wenzetu iko juu sana na wamejipanga kwa matukio ya kihalifu,nakubaliana na baadhi ya wachangiaji kuwa hata sautinayo ni viashiria vya kukubaini muhusika au muhalifu.Pale nilichoona jamaa hawakuamini kama picha na sura zao zingejulikana muda mfupi thus why wakawa wanapata taabu na wanaangaika watoke paris usiku na mchana.Je hiyo programu inaitwaje kitaalamu watu wa inteleginsia na IT please
 
Ipo Technology Flani Ambayo Nimeisahau Jina,technology Hiyo Ndo Ile Ambayo Mtu Anaweza Tu Kuongea Kwamba Nilimuona Haji,ni Mweusi,ana Sura Pana Kidogo,ana Macho Madogo,mdomo Mkubwa,pua Pana,then Mtaalamu Anachora,hiyo Picha Inakuwa Kama Sura Halisi Ya Yule Mtu,pia Hata Mtu Akivaa Kininja Picha Huwa Inakuzwa Kwa Darubini Maalumu Kali Sana Ambayo Ina Scan Sura Halisi,ni Kama Darubini Ambayo Ina Nguvu Kama X ray,halafu wakati wale magaidi wana escape zile kamera za mitaani CCTV,zilifanyiwa Footage Kutoka Eneo La Tukio Hadi Walipoishia,ikawekwa Intelligency Ya Hali Ya Juu Sana,kingine,wenzetu Hawafanyii Kazi Njaa Kama Sisi,kule Police Ni Police Kweli,anaipenda Kazi Yake Ni Mzalendo,jasusi,jasusi Kweli,yaani Wapo Dedicated Na Kazi Zao,wana Wito Halisi Na Si Njaa,kumbuka Ni Majasusi Wa Ufaransa Ndo Walimkamata Carlos The Jackal Akiwa Kajificha Khartoum Sudan,wale Ni Askari Wa Kweli Hasa Siyo Kama Kova,anayefanyia Kazi Njaa Kuifagilia haramu ccm na kuonea raia wasio na hatia,Tanzania Hakuna Police Wa Kweli Ni Njaa.

Duh,,,,,umeongea point kaka
 
Hapo juu umenikumbusha movie ya johny english(mr bean)kuna sehem alitakiwa amuelezee muhalifu aliyepambana naye yeye kama mpelelezi wakati mwizi huyo akiondoka na kofia na fimbo ya kifalme,kilichotokea sasa. hahaaaaaa.yaan huwa narudia hicho kipande nacheka sana.
Akamalizia na -and a shape of a banana.

Mtaalam akamchora jamaa aliyetajiwa sifa zake,kumuonyesha bean akashtuka,anaulizwa vip.akajibu yaan nimehisi kama tupo nae hapa huyo jamaa,yaan hivyo hivyo wala hujakosea.

Kumbe muongo,katengeneza tukio mpaka mtu.

Hahahaahaaaa......huwa naipenda sana hyo muvi...hasa kwenye hko kipande!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Magaidi ni viazi kichizi kuna mmoja alienda na ID,,ha ha aisee
 
kilicho wafanya kuweza kutambua sura za magaidi wale ni:-
1.kuwa na kamera kila maeneo muhimu ya nchi yao ambapo wa2 huingia na kutoka eg airport,railway station etc
2.kuwa na wataalamu wa hali ya juu waliobobea katika taaluma ya kusoma body characteristic za m2 hii ndio msingi wa upatikanaji kiurahisi kwa magaidi hao, kwa wataalamu wanasema kila binadamu hutofautiana katika body characteristic kwa hiyo ni rahisi kwa m2 yeyote kujulikana sura yake hata kama alikuwa amevaa kinyago.
 
Back
Top Bottom