Recent content by Mabunu

  1. Mabunu

    Msaada: Nahitaji kufika Leaders Club, niko Makumbusho stand DSM

    Tangu saa 3 anauliza na maelekezo tushampatia, me nilitarajia mida hii angesema tayari amefika na kutoa credit kwa watu waliomuelekeza
  2. Mabunu

    Msaada: Nahitaji kufika Leaders Club, niko Makumbusho stand DSM

    Unavuka mbuyuni, bt ni vizuri ukashuka mbuyuni ukachukua boda cz pale njiapanda hakuna kituo
  3. Mabunu

    Msaada: Nahitaji kufika Leaders Club, niko Makumbusho stand DSM

    Panda Makumbusho Posta then muombe konda akushushe njia ya kwenda leaders, ni mbele ya taa za St Peters
  4. Mabunu

    Nimekubaliwa kuonana na rais Ikulu tarehe 5th March, 2014

    shukrani sana Bwana Mbw japo haujaweka wazi jinsia yako, na kama ni wa kisasa au wa kienyeji anyways me pia nimetafuta sana hiyo chance nimeshindwa kuipata lakini ukionana naye naomba mwambie Taifa la Tanzania dalili zinaonesha kuwa muda si mrefu litaingia katika machafuko mwambie ili...
  5. Mabunu

    Bango litakalo tumika kumuuza Mgombea wa CHADEMA uchaguzi wa KALENGA.

    mbona nasikia huyo Mgombea ni chakula ya Mwenyekiti?nasikia pia ndiyo sababu ya kumchakachua yule jamaa Mwansheria
  6. Mabunu

    DC Ngara ashiriki katika utapeli

    wewe kama sio Kanyasu basi utakuwa mdogo wake, sasa kama Kanyasu hahusiki kwa nini ameshindwa kuchukua hatua?et mpaka wale mabinti waende kulalamika, nini maana ya PCCB, s kuchunguza?sasa Kanyasu anashindwa nini kuwaagiza PCCB kwenda kuchunguza ili kubaini ukweli?
  7. Mabunu

    DC Ngara ashiriki katika utapeli

    Mwanzoni mwa mwaka huu Mkuu wa wilaya ya Ngara Bw Costantine Kanyasu alialikwa kuwa Mgeni rasmi katika shindano la Miss Ngara Katika shindano hilo mshindi aliahidiwa kupewa vifaa vya Salon ya kike vyenye gharama ya shilingi milioni 2, mshindi wa pili zawadi yenye thamani ya milioni 1 na mshindi...
  8. Mabunu

    Wafanyabiashara Kibondo wagoma, kisa ni EFD

    maduka yote mjini Kibondo yamefungwa, wao pia wanakataa mashine za EFD source; Mwandishi wa habari wa Redio Kwizera
  9. Mabunu

    Jamhuri: Pinda agongana na bilionea Dar!

    huyo naye alikosa sehemu ya kwenda kushtaki mpaka akaende Ostabei?pale pameoza
  10. Mabunu

    Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo

    swali sijakuuliza wewe, ndo yale yale ya wale wanaosema kihelehele kama mke wa balozi
  11. Mabunu

    Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo

    Mkuu hivi wewe ni Shemej yake Mbowe?
  12. Mabunu

    Ngara yazidi kuwaka moto

    teh teh teh, kwi kwi kwi, ahahahahahaha, Kamnda Malanilo umevunja sana mbavu zangu, hayo ndo maendeleo ya CHADEMA mnayojivunia nayo? hahahahaha, kuwa na aibu kidogo bas Kamanda Hahahahahaha, hayo ndo umejipanga wewe na Mdogo wako Dk Bujali kuombea kura kwa wanangara 2015?mbona weak points...
  13. Mabunu

    Maskini Dokta Bujari, umejimaliza kwenda CHADEMA

    siasa ya Ngara naifahamu pengine mara 100 zaidi yako wewe, lakini nikiri tu kwamba hata iweje Ntukamazina hawezi kuwa mbunge wa Ngara mwaka 2015, lakini hata iweje Dk Bujali hawezi kuwa Mbunge wa Ngara mwaka 2015, asubiri tuu uchaguzi ufanyike tumuondoe huyo kibaraka wake Kennedy, aone...
  14. Mabunu

    Maskini Dokta Bujari, umejimaliza kwenda CHADEMA

    siasa ya Ngara naifahamu pengine mara 100 zaidi yako wewe, lakini nikiri tu kwamba hata iweje Ntukamazina hawezi kuwa mbunge wa Ngara mwaka 2015, lakini hata iweje Dk Bujali hawezi kuwa Mbunge wa Ngara mwaka 2015, asubiri tuu uchaguzi ufanyike tumuondoe huyo kibaraka wake Kennedy, aone...
Back
Top Bottom