Recent content by Mabulungutu

  1. M

    Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

    Thanks! Nitatembelea, hapo then nitakupigia..
  2. M

    Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

    Hii inapatikana wapi mkuu? Naomba contact Zako nahitaji mtambo kama huo au Tu share idea jinsi ya kufanya Mimi ninauzoefu wa viwanda vya maji
  3. M

    Wauzaji Wa Tipper Truck Howo, Faw na Scania Mende wapo wapi?

    Unatak used au mpya? Njoo inbox au nitumie namba yako nikutafute
  4. M

    Msaada kujua title ya movie hii

    Hata Mimi niliwahi Iona ila sikumbuki jina lake! Inasikitisha sana yule mzee alipo mwona mtoto kafa alilia sana then yule dada akapita katikati Yao kama ajui chochote akaenda zake!
  5. M

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Kahumba kulikuwa na Shamkupe mmoja anaitwa Agatha..lilikuwa ni balaa..na Kuna Mzee alikuwa analeta kuku kwenye ndoo usiku...looooong time! Aha aaah!
  6. M

    Ni movies zipi ambazo regardless na muda hauwezi kuja kuchoka kuziangalia?

    1. Godfather -Al Pachino/Mario Puzo 2.From Dust till Down- Quarantin Tarantino. 3. House Party- Kid n' Play. 4. Coming America - Eddy Murphy 5.Ong Buk
  7. M

    Vielelezo vya makala na picha kuelimishana kuwa dini za kikoloni siyo za Waafrika tena!

    Swali la kizushi! Je unafikiri zile DINI na Ustaarabu wetu wa kutambika kwenye mibuyu na kuruka na nyungo usiku tu zingetufikisha hapa tulipo sasa in terms of Science and Technology? Huo ukoloni na DINI tunazozipinga ndio zilitutoa tongotongo! I stand to be corrected....
  8. M

    Vielelezo vya makala na picha kuelimishana kuwa dini za kikoloni siyo za Waafrika tena!

    Swali la kizushi! Je unafikiri zile DINI na Ustaarabu wetu wa kutambika kwenye mibuyu na kuruka na nyungo usiku tu zingetufikisha hapa tulipo sasa in terms of Science and Technology? Huo ukoloni na DINI tunazozipinga ndio zilitutoa tongotongo! I stand to be corrected....
  9. M

    Huu Hapa ukweli kuhusu Utata wa selemani aliyeimbwa na Mbosso..

    Hawa hawana undugu na baba Salehe kweli?
  10. M

    Kanisa Katoliki tuache ubaguzi kwenye mazishi

    Umesikini mbaya hata kama unaudhuria vp huna Hela hata hao wachungaji na mapadre wanakunyanyapaa sembuse ukifa? Ngoja Sasa wakuone una Hela uone watavyokushobokea.... No uongozi wa kanisa utalazimishwa! Sasa kanisa limekuwa biashara kama biashara nyingine!
  11. M

    EFD receipt software/App

    Kuna group Moja la Whatapps nipo Kuna jamaa kutuma namba akisema anaprint EFD receipt online au anakuuzia software then una print mwenyewe kutumia cm Yako! Na zinasoma TRA kama zilizo printed na machine iliyokuwa registered TRA. Sijajua kama hichi kitu na sawa au Magumashi! Kama Kuna Mtaalamu...
  12. M

    The Fallacy of the Eden Garden Story

    Kwa nini Adam kabla ya kula tunda hakwenda kumuuliza Mungu? kwamba mbona Nyoka kamwambia Eva kwamba wakila lile tunda watakuwa kama Mungu? Hapo ndio mara nyingi wanaume tunapofeli kawaamini sana wake zetu...
  13. M

    Nesi Zahanati ya Kariakoo akamatwa na kilo 174.77 za Dawa za Kulevya aina ya Heroin

    Huo mzigo atakuwa kabakizwa tu ma Don wamekaa pembeni!!!!Kilo mia si mchezo
Back
Top Bottom