ww unayemwambia mwenzako kua kam enzi za hitler alitakiwa kuuwawa basi ww enzi hizi unatakiwa kuuawa maana huna manufaa katika jamii yaleo, jamii ya leo inataka mtu anayesumbua kichwa chake kwa kufikiri naco kuacha watu wengine wamfkilie na kitu icho unakifanya ww sasa maana umewaluhusu mbowe na...
watanzania wa leo co wajana wale wakupakwa uji kwenye midomo nakuambiwa wamekunywa uji, yanini tupewe kauli za matumaini alihali tunajua kauli tunazopewa nizakuongopewa, yann tumkubali mnafik anaye jifanya kutozijua nchi za nje wakati wa shida kwake alihali wakati tutakapokua nashida sisi...
pole sana ndugu kwa kufikilia kua kiongozi unatakiwa kukaa ofisini na kutatulia matatizo ya jamii, ivi unawezaje kutatua matatizo ya tandahimba ali hali uko dar? wawezaje kujua matatizo ya jamii alihali umejifungia ofisini? utajua miradi inaenda kama ilivyo ainishwa alihali mtazamo wako no...
nimeamini watu mko vzr kwa kukosoa bila kuangalia uhalisia wa suala lenyewe, mtoa maada ana dukuduku wa mikoa ya kaskazin halafu nyie mnaanza kuleta eti pande nane mala kumi na sita haya hebu mtuambie nilini mlishaskia ikitajwa mikoa ya kaskazin mashariki au kusini magharibi? nafikir...
daaaa!!! kweli mkweree nomaaa hospital full dawa, shule full walimu na masilahi yao yako juu, RICH MOOND, EPA&ESCROW historia KWELI MKWEREE ANAFAA KUIONGOZA TZ YA VPOFU LAKN C TZ YA LEO YA WATU WANAO ONA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.