Pia mameneja na/au injinia wao wapewe petroli ya kutosha ili mara kwa mara(angalao mara moja kwa wiki) wawe wanatembelea barabara katika maeneo hao. Wakiona shimo linaanza kujitengeneza wawahi kulithibiti. Ikumbukwe crack ikianza maji yaki-percolate ardhi chini ya lami inalainishwa panatitia...
TBC wasubiri mwaka wa 9 wa utawala wake ndipo wafanye hiyo mada waone mafanikio na mapungufu. It is simply too early for this kind of discussion. Constitutionally it is uncalled for in the absence of the requisite provisions.
Au usikute kuna mtu muhimu anahitaji matibabu ya haraka nje ya nchi na sasa inabidi kujiuliza itakuaje huyu wakati yule hakuhudumiwa? Just thinking aloud.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.