Habari za uku wakulima wenzangu naombeni msaada haswa wa Mambo mawili
1.ardhi
Hivi ni njia gani mtu unaweza milikishwa ardhi ambayo no mapori bado na kuianzisha kwaajil ya kilimo
2.Masoko
Ni njia zipi watu wanatumia kutafutia masoko ya uko ughaibuni na wanayapataje?
Naombaa kuwasilisha...
Njia gani makampuni makubwa yanatumia kupunguza Kodi au kukwepa pale inapokuwa kubwa japo kulipa Kodi no uzalendo na ni kujenga nchi but wakishakuja na bambikizo lao utaskiaa tu uwiiii nyingi
Habari za huku wakuu wa JF Kama kichwa Cha Uzi kinavojieleza hapo me naanza na kuuliza ni nchi gani kwa afrika ambazo Zina unafuu haswa wa Kodi na mazingira yake kibiashara yako vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.