Sina ninalojua Mkuu. Wacha wakujeHabari za huku wakuu wa JF Kama kichwa Cha Uzi kinavojieleza hapo me naanza na kuuliza ni nchi gani kwa afrika ambazo Zina unafuu haswa wa Kodi na mazingira yake kibiashara yako vizuri
Mkuu uzi wako ni mzuri sana ila huu ni uzi ambao huwezi kupata wachangiaji wengi, mim nakushauri kama unataka kufanya biashara na nchi za SADC AU EAC basi ukiingiza mzigo kutoka kwenye nchi hizo hutalipa ushuru wa bidhaa kwa maaana ya import duty mfano wa hizo nchi ni kenya uganda, rwanda botswana, south africa, zambia n.k hivyo ww ukiingiza vitu kutoka nchi hizo utalipa kodi tofauti na anaeingiza kutoka china, uingereza na kwingineko.Habari za huku wakuu wa JF Kama kichwa Cha Uzi kinavojieleza hapo me naanza na kuuliza ni nchi gani kwa afrika ambazo Zina unafuu haswa wa Kodi na mazingira yake kibiashara yako vizuri
tanx mkuuuMkuu uzi wako ni mzuri sana ila huu ni uzi ambao huwezi kupata wachangiaji wengi, mim nakushauri kama unataka kufanya biashara na nchi za SADC AU EAC basi ukiingiza mzigo kutoka kwenye nchi hizo hutalipa ushuru wa bidhaa kwa maaana ya import duty mfano wa hizo nchi ni kenya uganda, rwanda botswana, south africa, zambia n.k hivyo ww ukiingiza vitu kutoka nchi hizo utalipa kodi tofauti na anaeingiza kutoka china, uingereza na kwingineko.