Recent content by m2 people

  1. m2 people

    Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

    magari ya udongo tumeendesha sana pamoja na watu wa udongo tumetengeneza sana
  2. m2 people

    Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

    aiseeh!!.. umenikumbusha mbali sana kuna hizi gropu ndogo ngodo nazo tulitumia sana sasa hivi uwezi kuziona tena
  3. m2 people

    Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

    🤣🤣🤣 tunacheka kama mazuri lakn omba isikukute hii hali
  4. m2 people

    Huu upatu wa MTFE ni fursa kweli au mimi ndio naenda kugeuzwa fursa?

    daah nna cheka kama mzuri😂😂nilienda kwenye semina yao nikamsikiliza yule jamaa nikala pilau lao na soda nikajisemea moyon unipati ng'oo😂sasa watu wanalia atari daah mbaya zaidi kama hela umekopa ndo utalia zaid
  5. m2 people

    Yanga Na USM Alger

    fact yanga analeta kombe nyumban
  6. m2 people

    FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

    mlianza na mazembe mkaja kwa river mkaona aitosh ss mmehamia kwa mallumo bada ya mallumo chaguen mapema kati ya assec na us alger mapema atutak lawama
  7. m2 people

    FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

    tumepata raha sana kuna watu wanaumia sijui kama watalala kwelii
  8. m2 people

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    R.I.P martha towo
  9. m2 people

    Gereza la Hazwa

    gud mkui
  10. m2 people

    Natarajia kula bikra kimasihara usiku wa leo:

    usisahau kutuletea marejesho
Back
Top Bottom