Dr slaa hawezi kuwa amejivunjia heshima
Dr kanyoosha maelezo vizuri the kama mbowe, lisu na Luwasa. Wana lolote la kuongea waite press conference wajibu hoja kwa mantiki na sio kwa jazba
Watu wanapigwa na wake zao na inabaki kama story yakusadikika itakiwa kulala kwenye gari jibuni hoja sio kashfa
#Emma
Nadhani hujafuatilia chaguzi za ccm /teuzi mbalimbali tangu 1995
1995 mkapa hakuwa chaguo la wengi ni baba wa taifa alimtaka, akashinikiza kukatwa kwa Edward Lowassa na mzee Malecela, mambo yakaenda sawa
2005 chini ya mwenyekiti mkapa unakumbuka walimfanya nini mzee Malecela...
Ni kweli mkuu
CDM walikuwa wanamngoja EL kwa hamu kubwa apitishwe na CCM ili wa mmbomowe kwa kashfa kadhaa alizokuwa nazo kwani wakisemaga kwamba yeye ni fisadi PAPA
Je leo hii kageuka kuwa kafisadi ka_kauzu
Mwingine anadiriki kumsafisha eti kashetani kadogo kametoka kwa mashetani makubwa...
Angalia mkuu usiamini kelele za watoto wa mjini au kundi kubwa linalo hudhuria mikutano ya ki siasa kumbe wengi labda hawana hata hivyo vitambulisho vipya ukaona watamchagua Lwakatare cdm
Si sawa sana
Speed za chadema kumuwania EL zaelekea ukingoni maana kila kukicha wanabakia Subirini tunamtambulisha rasmi
Zilonga mbali zitendwa mbali
Imebaku hadithi tu
]Dereva wa gari lililokua na mipesa kamtaja Manji...Ikumbukwe Manji ni rafk wa familia ya JK kupitia Riziwan, (unganisha dots hapo) Pia ifahamike pia Riziwan ni Team Membe. Pia rejea beef la Manji ambae ni team Membe dhidi ya Mengi team EL.
Tukifanya kazi ya kujumlisha moja na moja sawa na...
Kumbuka Arap Moi alipo mng'ang'ania Uhuru Kenyata the
Nini kilitokea
Kina Mwai Kibaki walihama KANU. na Kibaki akakalia kiti
Kwa hiyo Lowasa kuhamia chama kingine ni Ukomavu wa demokrasia kwani kilicho fanyika CCM ni mizengwe na uhuni tu si demokrasia
E Lowassa karibia upinzani hakuna wa...
Hii si barabara ya lami bali ni barabara ya vumbi iliyopakwa rangi nyeusi tena ya sadolin[
Nadhani magufuli labda ataikataa kama ile ya kilwa road
Sasa bwana Mkubwa anapopita haoni mapungufu au ndo mambo ya kishkaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.