Jamani naomba kuuliza maana kuuliza sio ujinga.
Dakika chache zilizopita chopa zinapishana hapa kwenye anga la Kahama zinaelekea kama Ushilombo hivi . Yani na ukubwa wangu wote sikuwai kufikilia kuwa chopa inaweza kupiga misele saa Saba na robo usiku tena sio moja. Mpaka Sasa hivi naogopa mwenzenu.
Mm ushabiki sipendi sana japo naipenda yanga Ila ukweli usemwe tungeongezewa ata mwezi mmoja mbele kikosi chetu kielewane. Tukienda kichwa kichwa tarehe 18 tunaweza kufa nyingi. Simba inacheza mpira jamani. Nasasa hapo ulikuwa kwenye ule uwanja mbovu? Jiulize wangekutana Taifa issue ingekuwaje?
Ushabiki sio kujitoa ufahamu mm nasema Tena ni Yanga kwelikweli ata Kama nipo mikoani Ila huyu mtoto na Chama hapa Tanzania hakuna wakuwafikia piga uwa. Jingine dogo nikama Gaucho Yani ata umchezee lafu yaye wakati wote nitabasamu tu. Tuache utani Chama na huyu mmakonde ni shida tupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.