Recent content by M.Rutabo

  1. M.Rutabo

    Kununua Hisa benki

    Nitafte nikupe madini ninajitaidi kwenye swala zima la uwekezaji kuanzia real estate,hisa bond fixed-income na mambo mengine mengi.
  2. M.Rutabo

    Kununua Hisa benki

    Kwanza unatakiwa kufahamu kuwa ukinunua hisa kwenye benki nawewe unakuwa sehemu ya wamiliki wa hyo benki ila inategemea hisa hzo umezinunua wakati benki inaziuza kwa mala ya kwanza (primary market) ukizinunua hisa katika soko ili wewe utakuwa ordinary shareholder. Benki ikisha wapata ordinary...
  3. M.Rutabo

    Kwanini wahaya wanaukwepa mkoa wao? Buhaya Festival kufanyikia Dar, Mlimani City leo 27.10.2024

    Ata ibwela,rutete, rubale, makongora, katoro kote kuko poa kaka
  4. M.Rutabo

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Hv mkurugenzi ukipanda ndege dar-Mwanza ukachukua gari pale tanesco mkoa ikakupeleka Musoma nayo ni shida au Magari mazuri yapo dar tu. Tunapo zungumzia mkurugenzi wa tanesco nchini ata mkuu wa mkoa ni mtoto mdogo kwake kwa kila kitu kuanzia mshahara mpaka posho na exposure.
  5. M.Rutabo

    Kufahamu vituo vya kazi katika taasisi mbalimbali kama vile NEMC, IAA, TBC,VITUO VYA USAILI: ARUSHA, DAR ES SALAAM, DODOMA, MBEYA, MWANZA NA ZANZIBAR

    Uliandika anuani hipi kwenye maombi ya kazi ? Kama ni kagera Mara na Shinyanga tegemea kufanyia Mwanza Kama ni Singida tegemea kwenda Dodoma etc
  6. M.Rutabo

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Kwahyo katuachia bwawa Lake Mwalimu Nyerere?
  7. M.Rutabo

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Yani halipwe Mshahara million 30 bado posho za vikao kila siku alafu asafiri kwa gari toka dar mpaka msoma sasa hzo ndege atazipanda nani?
  8. M.Rutabo

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia

    Mkurugenzi wa Tanesco anasafiri umbali wote kutoka dar mpaka Msoma kwa gari kwani ndege hazikuwepo?
  9. M.Rutabo

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Waking mtu kapata kuanzia 100 mpaka 75 wawaite wote wenye hzo marks wawekwe kwenye chumba chao wanyanganywe cm wapewe mtiani mwingine uone kama watapata ata hamsini. Ile mitiani bila kupewa majibu ata 60 kuipata nikubatisha.
  10. M.Rutabo

    Usaili wa TRA Ulikuwa wa Haki

    Mm kwangu TRA wapewe tuzo. Ile mitiani kwanza waliotunga ni NBAA maswali kwanza ni kuchagua mtiani una maswali matatu ila kila swali lina vikings vozifyo pungua kumi na na tano ukiacha swali la misho ambalo lina hesabu kiasi. Ila ule mtiani watu wanaona ni mwepesi kwasababu ni kuchagua na true...
  11. M.Rutabo

    Hivi inawezekana mtu aliyegombea nafasi ya mwenyekiti wa kitongoji na akapata anaweza kugombea udiwani mwaka huo huo?

    Ndyo unakuwa na kofia mbili mradi iwe kata ileile yenye hocho kijiji.
  12. M.Rutabo

    Wahariri na waandishi wa habari wasusia shughuli za CHADEMA

    Na majority ya watanzania wanapenda kusikiliza kuona na kusoma habari za chadema. Kwahyo vyombo vya habari vinajiuwa vyenyewe.
  13. M.Rutabo

    Ripoti ya CAG: Halmashauri 37 zilikusanya shilingi bilioni 3.45 ambazo hazikuwekwa kwenye akaunti rasmi za serikali

    Hyo mifumo yenyewe ya kukusanya malipo kwa kutumia Point of sales machine Pos wahasibu Mapato wa halmashauri wanaruhusiwa kuingia kwenye system nakufuta baadhi ya transaction kama zimekosewa ila hyo ruhusa imegeuka fursa kwa wahasibu kufuta transaction kubwa kubwa kwa kushirikiana na wakusanya...
  14. M.Rutabo

    Serikali inajenga masoko kwa gharama kubwa halafu wananchi wanayakimbia wanakuja kumwaga bidhaa barabarani Watanzani tutaacha lini huu Upuuzi?

    Miradi inafanywa bila kuwashirikisha wananchi. Kuna mnada wa mifugo umejengwa eneo la kashenye kibaoni wilaya ya Muleba umeghalimu mamilioni ya pesa lkn haufanyi kazi, tena hayo masoko ndo kabisa husiseme nafkl wilaya ya Muleba inaweza ikawa inaongoza. Pale halmashauri penyewe ofisi za...
Back
Top Bottom