habari wadau wote wa jf duku duku langu ni juu ya baadhi ya tozo za serikali kulipwa kwa pesa za kigeni nini tafsida ya mwenendo huu je pesa yetu ni ya madafu kweli au ndio kuwapa kipa umbele wa nyonyaji aka wawekezaji
ukikaa na kutumia jicho la tatu utaona kuna kaujanja katumikapo...
mi sioni kosa lao wenye makosa ni sisi wananchi kwanini tunawapa kama tunaona awafai tuacheni majungu tuwe tunapiga kula sio kila siku ooooh huyu afai mara nini
salaam sana wa kubwa na wadogo ni matumaini yangu sote ni wazima
nimeamua kuleta maono yangu kwenu kama ndugu na Mtanzania mwenzenu na sikitika sana ndugu zangu kuona tuna potea na kupotoshwa na ushabiki usio na nyuma wala mbele inakuaje leo fisadi tulie msema na...
kweli siasa imekosa wanasiasa wamebaki wapiga kelele nw kila mtu anaongea pumba....hivi mnajua umhmu wenu kwenye hii nchi mnapenda umaarufu wakishamba kama mmeshindwa fungeni chama watu tunawapa madaraka nw mnajenga makundi mnatuzingua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.