Recent content by M.jeff

  1. M.jeff

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kuna series moja aliuliza mdau, nami natamani kuifahamu au kupata jina lake. Inaanza kwa kuonesha jamaa mmoja anapitia changamoto kweny kulea wadogo zake baada ya baba (wazazi wake) kufia kweny Mines za makaa ya mawe. Baadae alikuja kukua na kutafta namna ya kupata haki au fidia ya mzee wake...
  2. M.jeff

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Jamani ile series ilofahamika kwa jina la GLASS MASK. Naomba jina lake kamilia maake najarbu kudownload siipati. Au mwenye link yenye HD kuanzia 720p Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
  3. M.jeff

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Wadau naombeni list ya drama zenye love story kali, na visasi vya kimapenzi. Na ambaye anafahamu site ambayo naweza download season complete bila kuchagua epsode moja moja pls. Nachoka kupambana na ads. Msaada tafadhal Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
  4. M.jeff

    Mautundu ya intaneti kwa mwenye kufahamu

    Samahani kwa kuingilia uzi wako ila naomba kujua kuhusu hyo unlimited bundle mnayotumia. Ni hizi bundle wanazotoa Vodacom kwa 115k au 120k kulingana na uhitaji wako. (Niliona tangazo huko insta wanadai wanatumia line za voda then wanakupa kifaa cha kushare hyo wifi ). Vp speed yake? Nima...
  5. M.jeff

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Wadau mimi naomba link au website naweza download korean series ikiwa HD angalau hata 720p Nyingi naona ukiweka kweny TV kuanzia inch 32 inakuwa haina mvuto tena kuangalia.
  6. M.jeff

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Vipi kwa mkoani huku inaweza fanya kazi kama kigezo ni source ya umeme. Na gharama yake ikoje?
  7. M.jeff

    INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

    Ngoja aendelee kuamini kuwa unatupanga! Mimi sio mchangiaji mada sana na sidhan nishawahi kucomment kweny huu uzi. Ila nilipoelewa nachotakiwa kufnya nilienda direct inbox na nikapata majbu na hvi ninavoandika tayari nishapata Mzigo wangu. Siandiki kumshawishi mtu ila baada ya maswal kadhaa na...
  8. M.jeff

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mimi naomba msaada wa namna y kuconvert episodes au movie nazodownload kutoka nkiri.com ziweze kuplay kweny TV pia
  9. M.jeff

    Kati ya pikipiki TVS hlx 150x 5G na Haoujue TF 150 ipi ni pikipiki imara na nzuri kwa matumizi binafsi

    Wadau naomba ushauri kati ya hizo pikipiki mbili. Nahitaj kununua kwa matumiz binafasi sio boda boda. Kw uelewa mdogo ni kwamba TVS ni pikpiki iliyotengenezwa na mhindi na Haojue ni Mchina. Naomba ushauri ipi nichukue kama una uzoefu au hata elimu kidogo kuhusu pikipiki. Tuzingatie pia...
  10. M.jeff

    Series (Special thread)

    Jamn msaada series gani ina uchawi au magic fulani hivi?
  11. M.jeff

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwenye maelezo namna ya kudeposit 1*bet kwa njia ya MYBUX naomba aniPM maake naona hayajawekwa hadharani kwa sabbu.
  12. M.jeff

    USHAURI. Ninunue Canon photocopy mashine gani?

    Naomba ushaur katika mashine ya photocopy, ambayo ni bora kwa maana ya matumizi ya shule kama mitihani na ofisini. Pia tukizingtia kigezo cha wino. Maake nmeambiwa kuna zingne wino wake ni ghari sana. Hasa ikiwa mpya itapendeza zaidi.
  13. M.jeff

    Ninunue aina gani ya Tv?

    Hbr wana jamvi, nina bajeti ya Tsh 350,000/= Je ni Tv gani nzur ya kununua. ? Mawazo nilionayo ninunue LG inch 24 au Star X inch 32. Ushaur wa brand nyingne unaruhusiwa pia? Asante.
Back
Top Bottom