Recent content by M CM

  1. M CM

    GE2025 Salum Mwalimu amesema yeye kuwa Rais ni Kichekesho haiwezekani bado sana

    Madalali wa kisiasa wapo kazini ili wapate Chao kutoka CCM.
  2. M CM

    INAUZWA Dawa kiboko ya kuangamiza popo inapatikana

    Mkuu hiyo dawa popo Bado ipo na bei yake Bado haijashuka?
  3. M CM

    Kuanzia sasa mimi na wanawake basi, inatosha!

    Mkuu pole. Mpaka sasa hakuna aliyegundua hitaji haswa la mwanamke ni nini bila shaka hata shetani hajui hitaji ta mwanamke.
  4. M CM

    Kutenguliwa Nape na Makamba: Nampongeza Rais, walishaanza kujisahau

    Safu mpya ya ushambuliaji 2025 inaandiliwa
  5. M CM

    Nina amkiwa sana. Hivi ndiyo nishakua mhenga hivi au ndo wameona sina hela?

    Msuli wa SUA umekuzeesha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M CM

    Dada zetu wengi wanapambana kuolewa na wazungu tu

    Hapa mtaani kwangu napoishi Kuna jirani kajenga nyumba imekwama kwenye box Bado hajaipauwa Kwa miaka miwili Sasa. Juzi mwenye nyumba kamtuma mke wake kuwaonyesha nyumba hii dada mmoja mwenye mtoto wa kizungu akiambatana na zee la kizunguu wanataka kununua hii nyumba. Yaonekana Hawa jamaa siyo...
  7. M CM

    Car4Sale Tunauza magari kwa cash na mkopo pia tunaagiza magari nchi mbalimbali

    Maelezo bila picha inakosa mvuto tushawishi Kwa picha na bei elekezi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M CM

    Nina miaka zaidi ya 25 na sina mume wala mtoto, nachanganyikiwa

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2064274/ Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M CM

    Nina miaka zaidi ya 25 na sina mume wala mtoto, nachanganyikiwa

    Kuna post unatafuta mume na Sasa tukueleweje? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M CM

    Nahitaji mwenza wa Maisha (mwanaume)

    Legeza masharti hasa dini
  11. M CM

    Natafuta mume

    @sweat candy karibu pm
  12. M CM

    Natafuta mume

    Hapo utakuwa unatafuta mwekezaji na siyo mume. Bila shaka DP world itakufaa Kwa hiyo mil 100
Back
Top Bottom