Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,791
- 8,010
Kila tunapopewa tumepwaya. Sisi kuongoza si mpango wa Mungu jamani.
Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume chocheeni moto wa maombi kwa ajili yetu. Acheni kuchochea mkongo na mawazo ya chura.
Kina mama tumekuwa mashetani kuanzia ngazi ya chumba, nyumba, mtaa, shina, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa. Wanaume chocheeni moto wa maombi kwa ajili yetu. Acheni kuchochea mkongo na mawazo ya chura.
- Chumbani na nyumbani nafasi zetu zimeporwa na kupokwa na ma pp08house maids/ girls
- Mtaani tumepoteza heshima na thamani, tuonekana tunadànga hata tukiwa na shughuli zetu na tumeolewa.
- Kwenye wilaya na mkoa msipime, mwanamke hautoboi bila rushwa ya ngono.
- Huko juu sasa, eti akili zetu hadi tuwaziwe na walio tufunga minyonyoro