Aliniondoa kwenye biashara ya familia. Nikafanikiwa kupata kazi kwenye duka la ujenzi. Ndugu wakamharibia biashara ikabidi awe anasimama mwenyewe. Alikutana nae safarini ndio kuelekezana biashara ya mazao na kuanza kushirikiana. Kwa sababu duka liko nyumbani hivyo muda mwingi walikuwa pamoja.
Kuona nimemzidi maarifa akachukua hela zangu za akiba akasema anaenda kuanza maisha mbali. Kumbe walishaanza biashara ya mazao na huyo mwanamke, wakadhulumiana huko ndio kuachana. Ndani ya wiki mbili akarudi nyumbani akaforce tuhamie kwenye hiyo nyumba kutokana na aibu aliyoipata. Sasa tuko...
Mimi binafsi nilijenga kwa hasira, na wala sijui hata hizo pesa nilipatapata vipi. Mwanaume alikuwa analeta mwanamke wake hadi nyumbani na kuwatambulisha watoto huyu ndie mama yenu mdogo. Pesa niliyokuwa natoa ya matumizi, atoe komandi apelekewe chakula na mgeni wake(mchepuko). Kufukuzwa kila...
Habari wanajamvi. Penye wengi hapakosi neno. Nimepata hiyo meseji hapo chini kutoka NMB.
NAOMBA YEYOTE ANAEJUA KUHUSU HATI FUNGANI, ANIPE DARASA KIDOGO.
Ndugu Mteja, faidika na gawio la 9.5% kila baada ya miezi 3 kwa kununua hati fungani (Jamii Bond) kupitia benki ya NMB. Dirisha litafungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.