Recent content by Lyetu

  1. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Hizi ni bei za mahari ambapo ukiambiwa zaidi ya hizi kwa kila sifa umeliwa uwe na hela au hauna hela

    Mahari ni upuuzi ambao kijana wa sasa hapaswi kuuwaza hata kidogo. Sio kilakitu walichofanya hawa wazee lazima nasisi tufanye, hata kama hakina faida yoyote. Nilienda kwa wasukuma, kabila ambalo lilikuwa na ng'ombe wengi sana, ila kwasasa familia nyingi ni masikini, ukiwauliza shida ninini...
  2. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Kama unaweka pesa umbakize mwanamke, basi atakuja mwenye akili kama zako za kutumia pesa kuwa na mwanamke ataweka pesa nyingi kukuzidi na atamchukua.
  3. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Wanaume sisi ni wajinga sana kwenye mapenzi. Tunasomesha sio kwamba tunapenda sana wapenzi wetu wawe na elimu, hapana. Tunasomesha kuongeza ushawishi ili tupendwe, tunasomesha ili kuweka mipaka mwanamke awe wa pekeyetu. Sasa kama wewe unaweka ada mezani ili mwanamke ashawishike kubaki kwako...
  4. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Wakati huyo mwanaume anaitumikia familia nayeye kama mke akiwa amekaa tu hapo home analishwa, anavishwa, anatibiwa, mmewake alikuja hapa kulalamika?
  5. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Pesa inayotafutwa na wanandoa nikwajili ya familia. Mtoa mada pesa yake inaitumikia familia yake, shida iko wapi?
  6. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Nilipoona tu Pesa yangu Pesa yake Biashara yangu Alimkataa mtoto Moja kwa moja wewe ni mbinafsi, hata jamaa akipata kazi bado kuna changamoto nyingine zitaibuka humo ndani, Kwani yeye kabla ya kupoteza kazi alikuwa anatafuta pesa kwajili ya nani? Nawewe unatafuta kwajili ya nani? Endelea...
  7. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wabunge viti maalumu ni mzigo kwa Taifa

    Bunge la Tanzania lina zaidi ya wabunge 100 wa viti maalumu. Hawa watu mchango wao ni upi kwa Taifa? Nikweli nchi yenye uchumi wa chini kama Tanzania tunahitaji kurundika watu wote hao bungeni? Ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, idadi hiyo ipunguzwe hadi idadi ya wabunge wa viti maalumu...
  8. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Tamasha la bongo flavour honours ni la kibaguzi na kimkakati

    Sio kila jambo linahitaji mjadala, hiyo ni biashara wanaenda kufanya, kama wameshindwana watajuana wenyewe. Huyo unaemtaja aandae tamasha lake apige nayeye pesa zake
  9. Lyetu

    JamiiForums Tanzania "Sisi hadi tutoke ndio tule"- Kauli ya malofa

    Nchi yenye uchumi mzuri kama Marekani still kuna watu wanafanya kazi zenye ujira wa siku (Unskilled labor) na wasipotoka hawali kweli. Ila nimejifunza kitu kwenye post Yako. Ukiwa mjinga na una confidence wewe ni mtu smart sana.
  10. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Sijui kama una mtoto wa kike, ila niamini mimi ukipata mtoto wa kike hutamuandaa hivyo unavyotaka wanawake wawe. Huwezi kumpata mwanamke wa zamani kwa hawa watoto wa kisasa. Mimi nina kabinti kangu hapa, kwakweli sitamani kakaishi haya maisha ya changamoto nazoziona kwenye ndoa za watu wengi.
  11. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Mkuu elimu na pesa imetubadilisha sana sisi wanaume, mila na desturi nyingi sana tumezikataa baada ya kupata elimu na pesa. Wanaume tukipata tu elimu tunataka kuishi kisasa. Sasa tunataka tujisahaulisha kwamba hata mwanamke akipata elimu na pesa atabadilika pia. Nayeye atafikiri na kuishi...
  12. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Sijui umewaza kwa kutumia nini, ila elimu inambadilisha mtu yeyote yule. Hata sisi wanaume elimu inatubadilisha sana tu, baada ya kupata elimu Kuna mila na desturi tunaziona zimepitwa na wakati, tunaanza kuishi maisha mapya ya kisasa, lakini pia uwezekano wa kutucontrol unakuwa ni mdogo...
  13. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Wako sawa, unajua haya mataratibu wanaume tuliyaweka kidikteta sana na hawa watu hawakuwahi kuyakubali ila walilazimishwa kukubali. Leo mwanamke amepewa fursa za elimu, biashara na uongozi, kwa lugha rahisi umemsogeza karibu napesa. Unapomzuia haushindani tena na mwanamke ila unashindana na...
  14. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Mama Mkwe kuingilia malezi ya watoto wangu?

    Kama wewe ni mwanaume na umeleta hili jambo hapa, moja kwa moja namuunga mkono mama mkwe. Mfikishie huu ujumbe mama mkwe, Mwambie namshauri akaze sana kabla wajukuu zake hawajawa midebwedo
  15. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ni vitu gani vya kuzingatia kabla ya kuingia kwenye mahusiano?

    Hivi ni vitu muhimu unapaswa kuvizingatia 1. Jipende 2. Jijali 3. Jipendelee 4. Jipende sana 5. Jipende tena 6. Bakiza akili kidogo 7. Mapenzi ni ulimwengu mwingine na unasheria zake na mamlaka yake kamili
Back
Top Bottom