Recent content by Lyetu

  1. Lyetu

    Mwalimu Mkuu amfungia mwanafunzi darasani kwa Mnyororo

    Matoto majinga ya Arusha bila kwenda nayo kibabe hivyo tutakuwa na mkoa wa Arusha wa kipumbavu uliojaa wajinga wengi wanaojiita wahuni.
  2. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nadhani baadhi ya mikoa haipo, pia form zinakuwa generated na mfumo kulingana na ombi. Kuna hatua unapaswa kufikia ili kupata form husika, pia kama mkoa wako haupo kwenye system hata kama nitakutafutia form hautaweza kuendelea na ombi lako.
  3. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Anzisha ombi la survey plan upload, mimi nilipomaliza kulipia nilienda halmashauri kuuliza taratibu wakanipandishia nikaendelea na ombi la Hati ila unaweza kuomba hapo kwenye mfumo.
  4. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nikweli, hilo ombi linahusisha kiwanja kupandishwa kwenye mfumo ili kiombewe Hati. (Sijawahi kujua nikwanini havipandishwi kabla hadi mnunuzi aombe) So anzisha ombi lingine la survey plan apload, huko utapewa plan number ambayo itakuwezesha kuendelea na ombi la Hati. mimi nakumbuka nilipoenda...
  5. Lyetu

    Mungu anazungumza na Taifa Mungu anazungumza na watawala usiku huu

    Amka wewe utajinyea, unadhani na huyu atauliwa na wahuni 🤣🤣🤣
  6. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Mkataba wa mauziano ni lazima na unapaswa kuandaliwa na mwanasheria. Form ya majirani utaipata kwenye mfumo, utaidownload, print, kusainisha majirani kisha utaupload kwenye mfumo ( the same na form ya serikali ya mtaa) Unaweza kufungua account ukajaribu tu kuomba kubadilisha umiliki, utapewa...
  7. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Kama umenunua kwa mtu na kiwanja tayari kina Hati, unaomba kwenye mfumo kubadili umiliki. Utaombwa nyaraka ikiwemo mkataba wa mauziano, form iliyotiwa Saini na majirani ambayo utaidownload kwenye mfumo, na form iliyosainiwa na kiongozi wa serikali ya mtaa/ Kijiji/ Kata na nyaraka nyingine...
  8. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Ni mfumo mpya, so unadeal na maombi mapya.na haya maombi yanapita kwa idara tofauti tofauti ili kuondoa ujanja ujanja wa maafisa. Mfano onapoanzisha ombi linaanzia halmashauri, pale afisa ardhi analifanyia kazi anatuma kwa mkubwa wake nae anapitia nyaraka kisha analituma ofisi ya kamishna...
  9. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nadhani inawezekana mkuu, sijaona masharti yoyote yanayonizuia kununua kiwanja kwajili ya matumizi ya viwanda
  10. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Kwa msada zaidi kuview eneo ambako vipo viwanja kama hupajui/ hujawahi kufika, tumia google map au google earth. Viwanja vya TAUSI vipo kwenye ramani ila sio satellite view, so wewe unaweza kutafuta hiyo location kwenye Google earth/ Google map kupaangalia vizuri kwa satellite view. Labda Kuna...
  11. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Viwanja vyote vina bei, kama umeingia kwa kutumia simu rotate simu yako, kisha bonyeza kiwanja chochote. Kwa kufanya hivyo utapata taarifa kama ukubwa wa kiwanja, bei, matumizi ya kiwanja na gharama za kiwanja husika. NB, Viwanja vyenye rangi nyekundu vimeshanunuliwa na vyenye rangi ya kijana...
  12. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Kwenye account yako ya e-ardhi bonyeza sehemu iliyoandikwa Anzisha ombi Kisha chagua Maombi ya Hatimiliki, kisha chagua Endelea Baada ya hapo utajaza taarifa kama Mkoa ulikonunua kiwanja, wilaya, Halmashauri, kisha bonyeza WASILISHA Baada ya hapo utajaza taarifa za wahusika (taarifa zako...
  13. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Hii ni orodha ya baadhi ya huduma zinazotolewa, nadhani unaweza kuomba kupimiwa kiwanja chako kisha ukaendelea na maombi ya Hati
  14. Lyetu

    Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Habari za wakati huu wapendwa katika Bwana, Nichukue nafasi hii kutoa pongezi kwa hii mifumo miwili ambayo imerahisisha sana ununuzi wa Ardhi na kuwasilisha maombi ya Hati bila usumbufu. Nilinunua kiwanja TAUSI portal ambapo taratibu zake ni rahisi na rafiki sana, na baada ya kumaliza kulipia...
Back
Top Bottom