Wanufaika wakubwa wa huu muundo wa familia ni mke na watoto. Mwanaume usijinyime sana kwajili yao ukajisahau ukitegemea unafuu wa maisha badae.
Ukizeeka watamsikiliza, watawasiliana, watajali, watampa pesa mama yao kuliko wewe mwanaume. Kama uwezo wa kuwapa maisha mazuri upo, wape maisha...
Tatizo ni wewe, Kila mwezi unaongeza matumizi wakati kipato ni kilekile. Ulikuwa unakunywa bia 5 sasa utataka unywe 20, ulikuwa una dem mmoja sasa unataka uwe nao watatu, ulikuwa unaishi chumba Cha 50k unataka chumba na sebule 150k
Nadhani baadhi ya mikoa haipo, pia form zinakuwa generated na mfumo kulingana na ombi.
Kuna hatua unapaswa kufikia ili kupata form husika, pia kama mkoa wako haupo kwenye system hata kama nitakutafutia form hautaweza kuendelea na ombi lako.
Anzisha ombi la survey plan upload, mimi nilipomaliza kulipia nilienda halmashauri kuuliza taratibu wakanipandishia nikaendelea na ombi la Hati ila unaweza kuomba hapo kwenye mfumo.
Nikweli, hilo ombi linahusisha kiwanja kupandishwa kwenye mfumo ili kiombewe Hati. (Sijawahi kujua nikwanini havipandishwi kabla hadi mnunuzi aombe)
So anzisha ombi lingine la survey plan apload, huko utapewa plan number ambayo itakuwezesha kuendelea na ombi la Hati. mimi nakumbuka nilipoenda...
Mkataba wa mauziano ni lazima na unapaswa kuandaliwa na mwanasheria.
Form ya majirani utaipata kwenye mfumo, utaidownload, print, kusainisha majirani kisha utaupload kwenye mfumo ( the same na form ya serikali ya mtaa)
Unaweza kufungua account ukajaribu tu kuomba kubadilisha umiliki, utapewa...
Kama umenunua kwa mtu na kiwanja tayari kina Hati, unaomba kwenye mfumo kubadili umiliki.
Utaombwa nyaraka ikiwemo mkataba wa mauziano, form iliyotiwa Saini na majirani ambayo utaidownload kwenye mfumo, na form iliyosainiwa na kiongozi wa serikali ya mtaa/ Kijiji/ Kata na nyaraka nyingine...
Ni mfumo mpya, so unadeal na maombi mapya.na haya maombi yanapita kwa idara tofauti tofauti ili kuondoa ujanja ujanja wa maafisa.
Mfano onapoanzisha ombi linaanzia halmashauri, pale afisa ardhi analifanyia kazi anatuma kwa mkubwa wake nae anapitia nyaraka kisha analituma ofisi ya kamishna...
Kwa msada zaidi kuview eneo ambako vipo viwanja kama hupajui/ hujawahi kufika, tumia google map au google earth.
Viwanja vya TAUSI vipo kwenye ramani ila sio satellite view, so wewe unaweza kutafuta hiyo location kwenye Google earth/ Google map kupaangalia vizuri kwa satellite view. Labda Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.