Recent content by Lyetu

  1. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Wazazi Wanaolalamika Wamefeli?

    Wanufaika wakubwa wa huu muundo wa familia ni mke na watoto. Mwanaume usijinyime sana kwajili yao ukajisahau ukitegemea unafuu wa maisha badae. Ukizeeka watamsikiliza, watawasiliana, watajali, watampa pesa mama yao kuliko wewe mwanaume. Kama uwezo wa kuwapa maisha mazuri upo, wape maisha...
  2. Lyetu

    JamiiForums Tanzania NDEGE ibebe wachezaji tu, hao wahuni wengine watafute usafiri wao

    Tuna maregend kibao wa mpira sisi tunakusanya watu wasiojua mpira eti wanaenda kuhamasisha. NDEGE yetu irudi na wachezaji tu.
  3. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Watu mlioajiriwa hii hali ya kifedha ilishawahi wakuta?

    Tatizo ni wewe, Kila mwezi unaongeza matumizi wakati kipato ni kilekile. Ulikuwa unakunywa bia 5 sasa utataka unywe 20, ulikuwa una dem mmoja sasa unataka uwe nao watatu, ulikuwa unaishi chumba Cha 50k unataka chumba na sebule 150k
  4. Lyetu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini Hupelekea Ndoa Nyingi Kuvunjika Ama Mahusiano?

    Hakuna usaliti kwenye mapenzi labda ndoa. Mpenzi hakusaliti ila amefanya maamuzi sahihi kwa maisha yake
  5. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Mkuu amfungia mwanafunzi darasani kwa Mnyororo

    Matoto majinga ya Arusha bila kwenda nayo kibabe hivyo tutakuwa na mkoa wa Arusha wa kipumbavu uliojaa wajinga wengi wanaojiita wahuni.
  6. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nadhani baadhi ya mikoa haipo, pia form zinakuwa generated na mfumo kulingana na ombi. Kuna hatua unapaswa kufikia ili kupata form husika, pia kama mkoa wako haupo kwenye system hata kama nitakutafutia form hautaweza kuendelea na ombi lako.
  7. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Anzisha ombi la survey plan upload, mimi nilipomaliza kulipia nilienda halmashauri kuuliza taratibu wakanipandishia nikaendelea na ombi la Hati ila unaweza kuomba hapo kwenye mfumo.
  8. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nikweli, hilo ombi linahusisha kiwanja kupandishwa kwenye mfumo ili kiombewe Hati. (Sijawahi kujua nikwanini havipandishwi kabla hadi mnunuzi aombe) So anzisha ombi lingine la survey plan apload, huko utapewa plan number ambayo itakuwezesha kuendelea na ombi la Hati. mimi nakumbuka nilipoenda...
  9. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Mungu anazungumza na Taifa Mungu anazungumza na watawala usiku huu

    Amka wewe utajinyea, unadhani na huyu atauliwa na wahuni 🤣🤣🤣
  10. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Pamoja mkuu
  11. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Mkataba wa mauziano ni lazima na unapaswa kuandaliwa na mwanasheria. Form ya majirani utaipata kwenye mfumo, utaidownload, print, kusainisha majirani kisha utaupload kwenye mfumo ( the same na form ya serikali ya mtaa) Unaweza kufungua account ukajaribu tu kuomba kubadilisha umiliki, utapewa...
  12. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Kama umenunua kwa mtu na kiwanja tayari kina Hati, unaomba kwenye mfumo kubadili umiliki. Utaombwa nyaraka ikiwemo mkataba wa mauziano, form iliyotiwa Saini na majirani ambayo utaidownload kwenye mfumo, na form iliyosainiwa na kiongozi wa serikali ya mtaa/ Kijiji/ Kata na nyaraka nyingine...
  13. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Ni mfumo mpya, so unadeal na maombi mapya.na haya maombi yanapita kwa idara tofauti tofauti ili kuondoa ujanja ujanja wa maafisa. Mfano onapoanzisha ombi linaanzia halmashauri, pale afisa ardhi analifanyia kazi anatuma kwa mkubwa wake nae anapitia nyaraka kisha analituma ofisi ya kamishna...
  14. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Nadhani inawezekana mkuu, sijaona masharti yoyote yanayonizuia kununua kiwanja kwajili ya matumizi ya viwanda
  15. Lyetu

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda na pongezi kwa mifumo ya TAUSI na e-ARDHI

    Kwa msada zaidi kuview eneo ambako vipo viwanja kama hupajui/ hujawahi kufika, tumia google map au google earth. Viwanja vya TAUSI vipo kwenye ramani ila sio satellite view, so wewe unaweza kutafuta hiyo location kwenye Google earth/ Google map kupaangalia vizuri kwa satellite view. Labda Kuna...
Back
Top Bottom