Kwa uzeoefu wangu hakuna jambo lingine linakuhitaji ufike ofisi yoyote zaidi ya kwenda kuchukua Hati kwa kamishna wa Ardhi mkoa husika.
Japo nitafatilia kwa kamishna wa mkoa wangu kujua kama hiyo plan number inaweza kuombwa online pia.
Pole sana.
Sehemu uliyofika inahitaji uwe na namba ya ramani ya upimaji pia kiwanja kipandishwe kwenye mfumo ili uendelee na ombi la Hati.
Kwa uzoefu wangu nilikuwa naipata hiyo huduma ofisi ya halmashauri, nilienda na invoice kutoka Tausi na kitambulisho cha Nida. Hiyo ndiyo ilikuwa safari...
Mahari ni upuuzi ambao kijana wa sasa hapaswi kuuwaza hata kidogo. Sio kilakitu walichofanya hawa wazee lazima nasisi tufanye, hata kama hakina faida yoyote.
Nilienda kwa wasukuma, kabila ambalo lilikuwa na ng'ombe wengi sana, ila kwasasa familia nyingi ni masikini, ukiwauliza shida ninini...
Wanaume sisi ni wajinga sana kwenye mapenzi.
Tunasomesha sio kwamba tunapenda sana wapenzi wetu wawe na elimu, hapana. Tunasomesha kuongeza ushawishi ili tupendwe, tunasomesha ili kuweka mipaka mwanamke awe wa pekeyetu.
Sasa kama wewe unaweka ada mezani ili mwanamke ashawishike kubaki kwako...
Nilipoona tu
Pesa yangu
Pesa yake
Biashara yangu
Alimkataa mtoto
Moja kwa moja wewe ni mbinafsi, hata jamaa akipata kazi bado kuna changamoto nyingine zitaibuka humo ndani,
Kwani yeye kabla ya kupoteza kazi alikuwa anatafuta pesa kwajili ya nani? Nawewe unatafuta kwajili ya nani? Endelea...
Bunge la Tanzania lina zaidi ya wabunge 100 wa viti maalumu. Hawa watu mchango wao ni upi kwa Taifa? Nikweli nchi yenye uchumi wa chini kama Tanzania tunahitaji kurundika watu wote hao bungeni?
Ili kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, idadi hiyo ipunguzwe hadi idadi ya wabunge wa viti maalumu...
Sio kila jambo linahitaji mjadala, hiyo ni biashara wanaenda kufanya, kama wameshindwana watajuana wenyewe.
Huyo unaemtaja aandae tamasha lake apige nayeye pesa zake
Nchi yenye uchumi mzuri kama Marekani still kuna watu wanafanya kazi zenye ujira wa siku (Unskilled labor) na wasipotoka hawali kweli.
Ila nimejifunza kitu kwenye post Yako.
Ukiwa mjinga na una confidence wewe ni mtu smart sana.
Sijui kama una mtoto wa kike, ila niamini mimi ukipata mtoto wa kike hutamuandaa hivyo unavyotaka wanawake wawe. Huwezi kumpata mwanamke wa zamani kwa hawa watoto wa kisasa.
Mimi nina kabinti kangu hapa, kwakweli sitamani kakaishi haya maisha ya changamoto nazoziona kwenye ndoa za watu wengi.
Mkuu elimu na pesa imetubadilisha sana sisi wanaume, mila na desturi nyingi sana tumezikataa baada ya kupata elimu na pesa. Wanaume tukipata tu elimu tunataka kuishi kisasa.
Sasa tunataka tujisahaulisha kwamba hata mwanamke akipata elimu na pesa atabadilika pia. Nayeye atafikiri na kuishi...
Sijui umewaza kwa kutumia nini, ila elimu inambadilisha mtu yeyote yule.
Hata sisi wanaume elimu inatubadilisha sana tu, baada ya kupata elimu Kuna mila na desturi tunaziona zimepitwa na wakati, tunaanza kuishi maisha mapya ya kisasa, lakini pia uwezekano wa kutucontrol unakuwa ni mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.