Recent content by Lyaruwa

  1. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Je, kwa umri wa miaka 65 ya Kassim Majaliwa ni sahihi kwake kuendelea kuwa Mbunge Kweli?

    Na kwa kuongezea hapo, pia amehudumu chini ya maraisi wawili tofauti.
  2. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

    Na hii tabia ya gari nyingi za serikali, kutiwa karatasi nyeusi kwenye vioo vya madirisha (tinted). Italeta shida Sana.
  3. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Makambako inadaiwa ndo katikati ya mikoa ya nyanda za juu kUsini kijiografia

    Salama Mkuu? Vipi kuhusu umbali wa mikoa ya Rukwa na Katavi, mpaka Makambako?
  4. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania East Africa Radio acheni kueneza chuki kati ya Tanzania na Kenya

    Kweli, hii si Sawa.
  5. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Chaneli zaidi ya 23000+ kwa Tsh.9000/= kwa mwezi ila unapewa masaa 24 ya kuzitazama kabla ya kununua

    Tayari. Nipatie link ya majaribio.
  6. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kutafuta kazi

    Sawa Sawa mkuu. Asante kwa kuongeza nyama. Nadhani ni vyema akasogea pale na kupata taarifa zaidi, na akafanya maamuzi.
  7. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kutafuta kazi

    Sawa. Kesho ni Jumapili, sidhani kama utaukuta utawala. Ila kazi huwa zinaendelea. Ni Kampuni, ila sijui taratibu za malipo. Kufika kwa miguu, yawezekana. Tatizo sina uwezo wa kukuelekeza kwa njia ili ufike. Pia Niko na namba za mmoja wa watumishi pale. Ila sina ridhaa ya kukupa mpaka nimjulishe...
  8. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kutafuta kazi

    Fika pale kituo cha nguvu kazi cha daladala. Kuna madereva wa bodaboda, waambie wakupeleke mabanda ya kuku. Huko utapata taratibu zote za kuingia kazini.
  9. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa kutafuta kazi

    Habari mkuu. Huko Chanika, kuna kiwanda na ufugaji wa kuku. Je, umewahi tembelea hapo?
  10. Lyaruwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe Aziz Ki kilichombakiza Tanzania ni Hamisa Mobeto? Licha ya ofa kibao zilizotolewa na timu kubwa Afrika zikatupwa kisa mwanamke

    Ni heri ya uelewa wako mzuri Chief. Asante Sana.
  11. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Morogoro-Mkundi Kiegeya sqm 600(20/30)

    Taarifa zaidi mkuu Munari
  12. Lyaruwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

    Hongera sana kwa Young African Sports Club.
  13. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Asante Sana Kiongozi, naendelea kufuatilia hapa.
  14. Lyaruwa

    JamiiForums Tanzania Mwenzi wangu ana mbweche kubwa

    We acha tu kaka.
  15. Lyaruwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa sekondari za Dar City Center wanakula sana bataaa! Watafaulu vipi?

    Sasa kuna kufahuru hapo?
Back
Top Bottom