Recent content by Lyandembela1

  1. L

    Naomba kufahamishwa ratiba za CPA review class 2017

    Heshima mbele wadau, napenda kujua review za hapa City Center (DSM) na ratiba zao za masomo ya Final stage tafadhali.
  2. L

    Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

    Ndo shida ilipo, ndg yangu Mulhat Mpunga nataka miahirishe kufanya hiyo biashara
  3. L

    Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

    Heshima mbele wadau, Hawa watu wa mitandao ya Tigo pamoja na M-Pesa wamefanya hizi laini zao za M-Pesa na Tigo Pesa kuwa kama biashara ya Madawa ya kulevya. Ukifuata mfumo uliowekwa haupati katu abadani, itakuchukua hata mwaka kuzipata. Ni bora hata hao Tigo kidogo wana uhafadhali coz wanatumia...
  4. L

    Taratibu za kufuata mgeni kuingia nchini

    Heshima mbele wakuu, Ninategemea kupokea mgeni/raia kutoka nchi za ng'ambo, Ningependa kujua afate taratibu zipi akiwa huko kwao nami pia nifanye nini huku ili kurahisisha zoezi hili. Aksante wadau Lyandembela1
  5. L

    Uhusiano kati ya upasuaji na tumbo kuwa kubwa

    Sasa afanye nini ili kupunguza tumbo maake amejilidhikiaje na mimi silipendi.
  6. L

    Uhusiano kati ya upasuaji na tumbo kuwa kubwa

    Heshima mbele wakuu, Shemeji yenu alijifungua kwa njia ya upasuaji mwaka na nusu umepita sasa, lakini kila uchao tumbo halipungui utadhani ana nyingine. Na nikumwambia atafute namna ya kupunguza kanambia kuwa mwanamke akijifungua kwa njia ya upasuaji tumbo haliwezi kuwa dogo kamwe. Je kuna...
  7. L

    Hatimaye Swissport Tanzania PLC yapata CEO mpya Mtanzania kijana

    Wamechuma vya kutosha sasa wameona hakuna jipya au upepo hauwaendei vyema wanaamua kukabidhi wabongo. Na sisi tunachekelea
  8. L

    Askari 2 matatani kwa ubakaji wakilinda Mitihani Kidato 4

    Waswahili wanasema kama unapenda skirt za shule mshonee mkeo au demu wako.
  9. L

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Habari wadau, Poleni na majukumu ya kila siku. Wadau baada ya siku mbili nikifanya tendo la ndoa mgongo unaniuma kama unataka kukatika flani hivi. Msaada katika hili nini chanzo na matibabu yake. MziziMkavu Watu8 au yeyeto anayejua tatizo hili tafadhali. Lyandembela1.
  10. L

    Yu wapi mwanahabari aliyezuia msafara wa rais kuwai kupeleka habari newsroom Charles Kayoka?

    Halafu ni mwanahabari, na imani ni kanjanja huyu na huyo mwalimu nguli anaaibishwa hapa.
  11. L

    Mfalme wa Morocco azindua ujenzi wa msikiti wa kimatifa Dar

    Kwa maono yangu wangeomba kujengewa chuo kikuu au kukiimarisha kile chetu cha Mororgoro, kama miskiti tunayo ya kutosha sana. hata nyumbani kwetu tunao
Back
Top Bottom