Recent content by Luyego

  1. Luyego

    Nakala ya asili ya Goetia

    Hadi kufikia halo Kuna shida, ila huo ni ushirikina
  2. Luyego

    Nakala ya asili ya Goetia

    Duh sure Mzee, Mi imebidi Hadi niwe nasogeza mbele TU maana hata sielewi, ila naamini Kuna watu wenyewe kujua maana wanaelewa.
  3. Luyego

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Duh pole Sana Mkuu, ila Mungu mwema upon hai Hadi leo
  4. Luyego

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Tukumbuke pia kutongoza hadi mwanamke akubari kuvua nguo sio kitendo cha usiku mmoja, na baada ya hapo kuna kuwa na mlolongo mrefu was vibomu, sms na aina nyingine nyingi za usumbufu, sa kama unaweza pata huduma ya chapchap kwa buku tatu halfu unachukua 50 zako, which worthy? [emoji12] [emoji12]
  5. Luyego

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Yeah ni kweli kabisa, eg mi sikuwa na picha halisi ya nn kinaendelea pale, ila sasa kwa uzi huu tyr nimejua huduma chapchap ya kuchachua ukiwa dar inapopatikana
  6. Luyego

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Na haitakuja tokea hdi mwisho was Dunia, Tamaa ndio core identity ya kila mwanaume
  7. Luyego

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    Kwani ile op kama ya Dom na Tanga Dar haiwezekani?
  8. Luyego

    Unamfahamu Sukubasi (Succubus/Succubi)?

    Huwa naelewa sana Post zako Kiongozi Mshana Jr , binafasi ningependa pata nondo zaindi haswa vitabu unavyosoma kupata stori za masukubasi
  9. Luyego

    Uzi maalum kwa watumiaji wa GBWhatsApp

    Hizo zote Gb wanazo, unless kama bado mtu hajaupdate
  10. Luyego

    Msaada

    Duh [emoji4]
  11. Luyego

    Msaada

    Wapendwa samahani sana naomba kisaidiwa key za window 8.1. Au vision yeyote, asante
  12. Luyego

    Yanayojiri Uchaguzi mdogo Singida,Longido na Songea Mjini

    Kwa kulinda usalama na afya za watu, bora hivyo hvyo tu, maana wapige wasipige ccm lazima washinde, ukibishia matokeo cha moto unakiona sa ya kazi gan? Kama vipi hata 2020 Chadema wapige chini tu, abaikie lipumba
  13. Luyego

    Ni kitu gani cha kijinga usingependa kufanyiwa au kuambiwa wakati ukifanya mapenzi?

    Eeeh hapo jibu linaweza kuwa aah we hufanyi kama yeye hebu ongeza speed kidogo[emoji1] [emoji1]
Back
Top Bottom