Tukumbuke pia kutongoza hadi mwanamke akubari kuvua nguo sio kitendo cha usiku mmoja, na baada ya hapo kuna kuwa na mlolongo mrefu was vibomu, sms na aina nyingine nyingi za usumbufu, sa kama unaweza pata huduma ya chapchap kwa buku tatu halfu unachukua 50 zako, which worthy? [emoji12] [emoji12]
Yeah ni kweli kabisa, eg mi sikuwa na picha halisi ya nn kinaendelea pale, ila sasa kwa uzi huu tyr nimejua huduma chapchap ya kuchachua ukiwa dar inapopatikana
Kwa kulinda usalama na afya za watu, bora hivyo hvyo tu, maana wapige wasipige ccm lazima washinde, ukibishia matokeo cha moto unakiona sa ya kazi gan? Kama vipi hata 2020 Chadema wapige chini tu, abaikie lipumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.