Asante mkuu kwa kutoa unayojua tukusaidie moja Israel haipigani na Palestine kwa sababu Israel no taifa teule Bali inataka kuwalinda watuwake na ardhi yake mbili kupinga kuwa Israel haiwezi kuwaondoa Palestine ni kutilisha upepo maana IDF ni strong Sana kuliko unavyo dhani Tatu kujaribu kupinga...
Pole Sanaa mkuuu nachoshauri Ni hikii moja chunguza Kama ulishawahi fanya ovu lolote kwa yeyote yule alafu kaombe msamaaha then muombe Mungu serious kabisa yaani follow all principal in prayer Kama acha dhambi ,nyenyekea kwa Mungu , nakuomba usiishie hapo tu Bali mueleze Mungu nn kinakushinda...
Mkuu yesu hakuja kwa ajili ya wayahudi Bali kwa ulimwengu ila wayahudi waliomkataa wapo sawa na wewe au Mimi Kama tukimkataa mwisho neno la Mungu halichunguziki kwa maarifa ya kusoma tuuu Bali ya kiroho pia #chochote unachosema juu ya Mungu nakuomba usiishie kunukuuu vifunguuu tu Bali zama...
Mkuu samahani naomba mawasiliano yako ,nahitaji kujua zaidi maana huku niliko watu wanafuatilia kiukaribu hii issue ya vanilla kwa hiyo nakuomba unipe namba yako au Kama ikiwezekana nibip tu namba hii hapa 0673034335, Natanguliza shukrani Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.