Recent content by lutashobya1989

  1. lutashobya1989

    Nilivyogharamia harusi ya mchumba wangu bila kujijua

    Tuma mapicha hayo huenda wewe ndo ulikuwa unamsumbua mke wangu!
  2. lutashobya1989

    Uchumba wangu umevunjwa

    Tuliza akili, huyo mchumba wako kama yuko serious atakuelewa, na ukitumia nguvu kubwa kumuelewesha mchumba wako anaweza kukukubalia ila ataishi kwa mashaka sana. Sasa wewe huyo mchumba wake muache achambue mwenyewe asiporudi atakuwa kakuepusha na janga kwani hata yeye atakuwa ni tatizo. pia...
  3. lutashobya1989

    Uganda imepiga marufuku michezo ya kamari na Kampuni za michezo hiyo hazitapewa tena kibali

    Tunavomsifia safi na akikosea tumrekebishe tu tusimtake kuondoka madarakani!!
  4. lutashobya1989

    Benki ya CRDB yafanya mabadiliko ya ada kwenye huduma zake

    Kweli kwa mfanyakazi kuwa tajiri ni ngumu sana, tutaendelea kuzunguka kwenye maisha ya kawaida tu kama hatutaamua kutoka kwenye mifumo ya kibabiloni.
  5. lutashobya1989

    Benki ya CRDB yafanya mabadiliko ya ada kwenye huduma zake

    Yaani hela unapewa mkono wa kushoto wanachukua mkono wa kulia
  6. lutashobya1989

    Benki ya CRDB yafanya mabadiliko ya ada kwenye huduma zake

    Mabadiliko ya ada za huduma CRDB haya hapa
  7. lutashobya1989

    Dar: Mapokezi ya ndege ya pili ya ATCL aina ya AirBus A220-300(Ngorongoro) katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere

    nyie watu mbona mnatafuta vikosa vya kijinga sana, kumjua hadija inasaidia nn kuja kwa ndege
  8. lutashobya1989

    Tundu Lissu: Mimi ni mgonjwa wa Taifa, nawashukuru wote

    Hii itakuwa promotion nzuri kwake kwani kwa kipindi kirefu hayupo tz na anahitaji kuzunguka kdg ktk nchi hii aone maendeleo yalivofika mbali.
  9. lutashobya1989

    MAPOKEZI YA NDEGE: Rais, ni vema ukawapa nafasi wengine! Siyo kila wakati ni wewe tu

    nashukuru kunielekeza, lakini ni vema ukaelewa mantiki kuliko kufuatilia uandishi ambayo hayana msingi saana kwa hili linaloendelea, japo kwa shingo upande mpie makofi raisi wetu eee!!!!!
  10. lutashobya1989

    MAPOKEZI YA NDEGE: Rais, ni vema ukawapa nafasi wengine! Siyo kila wakati ni wewe tu

    Kwa mara nyingine tena kama kawaida ya Raisi wetu mpendwa ndugu John Joseph Pombe Magufuli, raisi wa wa watu anakwenda kuzindua ndege yetu nyingine, kwa hakika Tanzania inasonga mbele!!!
  11. lutashobya1989

    Ninadaiwa Tala, Branch na M-pawa. Nisipowalipa watanifanya nini?

    Hao tala hawafai kwa habari zako walizonazo usikute siku moja ukadaiwa na mjumbe wako wa nyumba 10 hel aya tala!
  12. lutashobya1989

    Ukiachwa achika

    Weweeeeh! acha hiyo.
Back
Top Bottom